Recent content by adzile

  1. A

    Nape Nnauye atoa Tamko Maalum la CCM kuhusiana na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini

    nyamizi matusi hasira havina nafasi ktk kipindi ambacho wananchi wameamua kutoa somo kwa watawala nakushauri pokea hizo changamoto kaa chini tafakari nini kinaendelea hapa nchini
  2. A

    Nape Nnauye atoa Tamko Maalum la CCM kuhusiana na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini

    nape unamkumbuka waziri wa habari wa sadamu husein wakati marekani wanaipga iraq
  3. A

    Mama Tibaijuka hebu kuwa serious! Mbona unatufanya wote wajinga?

    SHULEyake sio ya watoto masikini ada ni sh 4000000 acha kudanganya watu
  4. A

    Picha zinatisha: Yanayotokea Kiteto yanadhihirisha Tanzania haina Serikali

    chadema anzisheni maandamano kiteto ili polisi iamke usingizini
  5. A

    CHADEMA inatumia koti la UKAWA kujikongoja kisiasa

    ifwero hakuna sababu ya kujadili chama kincho pumulia maashine jadili ccm unatoa mapovu ya nini achana na chadema
  6. A

    Askofu Mwamasika: UKAWA sawa na muunganiko wa Walevi

    namufahamu vizuri ni askofu mstaafu ambaye amekua akishutumiwa sana kwa kupenda ushirikina sana ndani ya kanisa pia ni askofu asiyejipenda ni mchafu wa roho na mwili ni ndugu na askofu mdegela
  7. A

    Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa: Katibu wa Wilaya na Mweka hazina wa CHADEMA wahamia CCM

    inaonyesha unaipenda sana chadema usiogope tuma maombi tukujadili unaweza rudi
  8. A

    Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa: Katibu wa Wilaya na Mweka hazina wa CHADEMA wahamia CCM

    adui mwombee njaa kama mambo yapo kama unavyosema basi fanyeni sherehe huna sababu ya kutoa mapovu mke ulisha mtaliki unaumia nini
  9. A

    Zitto Kabwe: Nyerere wangu mimi!

    ndugu zzk unayaamini unayosema na kuyaandika ?
  10. A

    Rais Kikwete: Muundo wa Serikali tatu ungemkejeli Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

    Acha ujinga Azimio la Arusha alilo asisi mwalimu mbona hamjalienzi msichague mambo ya kuenzi mafisadi wakubwa
  11. A

    Aibu nyingine kwa CHADEMA

    yes tunataka mwenyekiti kama mbowe hapo nini cha ajabu hayo mambo binafsi RIJARI
Back
Top Bottom