nyamizi matusi hasira havina nafasi ktk kipindi ambacho wananchi wameamua kutoa somo kwa watawala nakushauri pokea hizo changamoto kaa chini tafakari nini kinaendelea hapa nchini
namufahamu vizuri ni askofu mstaafu ambaye amekua akishutumiwa sana kwa kupenda ushirikina sana ndani ya kanisa pia ni askofu asiyejipenda ni mchafu wa roho na mwili ni ndugu na askofu mdegela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.