Hahaaaa[emoji23] . Mkuu walau umefanikiwa kunichekesha. Sasa si uende tu mkuu ukamkamate tu kwani wewe si una mikono mkuu, sasa unanituma mimi kwa mkataba gani tena boss? Au wewe siyo Mtanzania mkuu? Au huna ushahidi? Kipi kati ya hayo mawili boss
Mkuu Eja one umenibariki sana. Hawa jamaa ni wa ajabu, maana huyo waliyemtangaza wao wenyewe kuwa ni fisadi hatari sasa wanageuka wanasema si fisadi maana hakuna aliyemshtaki. Halafu wanawabandika watu wengine ufisadi bila kushtaki mahakamani halafu wanataka sasa ulimwengu eti uamini hivyo...
Sasa leo imetosha. Ngoja Sasa niendelee na KAZI TU. Maana wengine kuzua hoja humu nayo ni kazi. Nikishamaliza kazi zangu za leo sasa nitawapeleka watoto wakafanye Utalii wa ndani, wakaone mwendo kasi niwasimulie kabla ya hapo mfumo wa usafiri wa mafisadi ulivyokuwa. Kisha niwapitishie tazara...
Hivi Mkuu akili yako leo imeamka Sawa kweli? Hivi unaposema kwa kujiamini serikali imempiga risasi huyu na yule! Hivi kwa nini usiende mahakamani? Mtu anaibiwa kuku tu anaenda mahakamani kudai haki yake, sasa wewe hebu mwaga hapa namba ya kesi yako? Umegeuza habari hii siasa na unaamini Ni...
Wewe acha hoja za kufikirika Kama abunuwasi. Mtanzania gani maisha magumu? Pambana na hali yako. Mbona mshahara uko palepale tena unawahi tu na michango ya harusi kutwa watu wanachangia tu?
Kata bajeti ya kadi za Harusi ulizokusanya bila utaratibu, kitchen party, uchakavu na mitindo wa kujaza...
Wala hajabana demokrasia ya nchi bali amebana fursa za demokrasia zile ambazo zilikuwa zinawaneemesha wajanja wachache. Nyie ni wale mliokuwa mnafaidika na mismanagement ya demokrasia mkachekeleaaa mkajiingiza kwenye maisha ya gharama kubwa yasiyo halisia.
Sasa kipenga cha kurudi kwenye mstari...
Na baba mbaya kwa watoto na mke ni yule anayewahi kurudi nyumbani akaanza kuhoji uvivu wa mkewe na anavyozurura kwa mashoga na saloon kubadilisha mitindo ya nywele na watoto wanaokesha kwenye tv wakiangalia picha za teleseriali. Hapo utasikia Dingi mnoko bora asafiri tu.
Na baba ukisikia Dingi...
Mkuu kumbe ni hofu tu inakusumbua. Yaani unahangaishwa na hofu tu. Huo ni ugonjwa wako binafsi siyo wa Taifa.
Halafu Mkuu hata mitume tunaowaabudu sana waliofanya dunia ya leo iwe ilivyo kiimani, kumbuka walikataliwa huko kwao. Hii ni kawaida.
Mungu akujalie maisha marefu Ili tushuhudie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.