Kama huwezi kufuata taratibu na kanuni za kanisa ,lazima utajiondoa mwenyewe. Wengi wanaondoka na badae wanarudi wenyewe. Kanisa katoliki lina misingi yake. Kiukweli ni daraja zuri sana kutufikisha tunapotaka. Nimesali makanisa mengi sana lakini RC ni the best Church. Muombe Mungu akupe mafunuo take
Ndugu,kilimo ni sayansi. Kabla ya kuchagua ni Mkoa gani unafaa yakupasa ujue lengo LA KULIMA mazao hayo Ni nini? Wateja wako ni akina Nani? Miundo mbinu ikoje? Gharama za uzalishaji ziko vipi? Mahitaji ya kilimo eg mbegu,mbolea,viuadudu,ardhi,utaalamu nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.