Mkuu mi nnayo tena haina shida yoyote. Niko mbeya na ukweli mashine ina uwezo wa kupiga gunia 250 kwa siku. Inatumia engine ya diesel ya powertiller HP 20. Yaaani ukiwa na lita 5 za diesel unapiga gunia 70 - 80. Nauza kwa ajili ya shida ya ghafla.Bei ni 3 million japo maelewano yapo. Namba yangu...
Ndugu wana jamii forum nauza machine kubwa ya kupukuchua mahindi. Ina uwezo wa kupiga gunia 250 kwa siku na inatumia engine ya diesel Horse power 20 ambayo nayo ipo hapohapo katika machine. Bei ni 3,000,000 maelewano yapo msiogope.Nna shida ya haraka ndio maana nauza.
Namba zangu ni 0757-963690...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.