Wenye uhitaji wa mikopo ya haraka

Wenye uhitaji wa mikopo ya haraka

riba zetu tumezishusha mahesabu yako kwa riba tunafanya 1.6% kwa mwezi, 19% kwa mwaka, hii ni kwa watumishi wa serikali, karibuni sana , easy money

acha utapeli wewe 1.6% mara 4% unafikiri wote humu ni wapumbavu?
 
Hawa ni wezi,nimejaribu kuwasiliana nao ukiwaambia wakuelekeze ofisi ilipo wanakwambia njoo mjini tutakufata ulipo,ukisisitiza kufika ofisini wanakimbia sim hawapokei,utapeli at work
 
kampuni yetu ya african capital, tunatoa mikopo ya haraka ndani ya saa24 , kwa wafanyakazi wa serikali na sekta rasmi .. hauhitaji kuweka dhamana ya mali au kuwa na wadhamini.

unachotakiwa ni kuwa na salary slip za miez mitatu ya karibuni, id ya uraia, id ya kazi na p/size pamoja na bank statement ya miezi mitatu ya karibuni.

wenye uhitaji wa mkopo wanipim .

karibuni
namba ya simu ni ipi mkuu
 
Hahaha bei port salute eee!! Kuna kampun nyingne mbona nzuri sana inatoa mkopo sa moja tu mpaka 24 tena hapo unakuta kuna dharula ni fasta sana pia unapewa kadi inayonyesha makato yako,mda wa kuanza na kumaliza liba kidogo sana huwez amin siyo ingine ni MABOTO ENTERPRISES LIMITED
wanapatikana kila wilaya tz ispo kuwa dar,dodoma na arusha,kama vip una nipm tu.
Mbeya huku Mbozi mnapatikana??? Naomba jibu mkuu dhamana zipo naitaji kama 2m only
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha aiseeeee! Hivi vyuma kubana vitakuja kuwapa watu uchizi! Sasa huyu sijui alikuja kutafuta nn wakati anaanzisha huu uzi?!

Kwanza niwapongeze kwa umoja wenu kwa kumuweka kati huyu mtuhumiwa na kumuhoji. Ile hali ya yeye kuchemka kutoa majibu sahihi ndio imetufanya kubaini kuwa pengine hakuwa mtu mwenye nia nzuri isipokuwa alilenga kuja kurubuni watu wachache na pengine kuwadhulumu kwa namna yoyote ile.

Ila tujifunze jambo, kwamba kama mtu kuna huduma unatoa kwann unashindwa kuwatolea wateja ufafanuzi hadharani ili wajiridhishe na sio kuishia kuwaambia nifuate "PM", au njoo inbox, why unaficha, unaficha kitu gani labda?!

Utakuta mtu anauza aidha sijui gari, au sim, au viatu au nguo amezipost vizuri, ukimuuliza bei anakwambia nifuate pm or inbox, ha ha ha ha ha ha ha huwa nacheka sana.

Kiukweli hakunaga biashara za kificho. Sometimes mtu anataka ajue bei au gharama ili asije jisumbua kuja kukufuata na hela kamili hana au hajui anajiongezaje!

So free advice kwa wateja kuwa mnapoona mtu anasuasua kufunguka jua hiyo biashara huenda ina hila ndani yake. Biashara ni makubaliano ya wazi kabisa na haina haja ya kuficha details na kwann mtu afiche sasa na anataka kukuuzia kitu au huduma fulani?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom