Nachukia sana napoona kiongozi anayetolea mfano wauovu wa nchi nyingine. kwa hiyo kama watu wanauana kama Marekani nasi tuone ni la kawaida tuige kuuana?
Tumetoka wapi, tuko wapi na tunakwenda wapi kisiasa? Hivi wananchi hawaoni, hawasikii au hawaelewi ni nini kinachoendelea hapa nchini kwa sasa? Unaweza kuwanyanyasa watu fulani , mahali fulani kwa wakati fulani, Lakini kamwe hutaweza kuwanyanyasa watu wote, mahali pote ndani ya Tanzania kwa...
Watanzania wana Busara sana, swala la kujiongeza ni la muhimi sana, Hivi nikuulize, kama mnabishana na mdugu yako kuhusu kukarabati gari la baba yenu kulipaka rangi, wewe unataka nyeupe na yaya anataka damu ya mzee, ukamwona anakimbilia kushika panga kisa anataka kulipaka rangi ya damu ya mzee...
Mtu akikurea mwonyeshe kakukera na maliza. saa ya kazi chapa kazi nae bila kinyongo. Sio unaweka hasira kifuani mpaka mnashindwa kufanya kazi pamoja. Mwambie ajue hupendi nini na kipi unapenda, sio unakuwa MNAFIKI!
Naomba kuuliza maswali kama ifuatavyo
1. Endapo mweyekiti wa mtaa anaumwa au amesafiri
a) ni nani anatakiwa kufanya kazi zake na anapatikanaje na kwa sharia au kanuni ipi?
b) Mhuri wa mwenyekiti anatakiwa auache au ukae kwa nani
c) Nani ataongoza vikao vya halmashauri ya mtaa...
Mka, Elimu hii ni nzuri sana sana isipokuwa naomba kuuliza mambo yafuatayo
1. Je ndoa haizungumzii kuhusu hali ya wanaotaka kufunga ndoa kabla ya ya kufunga ndoa?
a)mwanamke kutokuwa bikra au kuwa ameshazaa na mtu mwingine kabla ya ndoa?
b) sijui ni semeje labda na mwanaume...
R I P Akwilina, nenda, nenda, nenda Akwilina Mwanetu. Tunakuombea kwa Mungu akupokee, ukakae naye pembeni mwa kiti chake cha Enzi, ukamuulize, Je Tanzania ndiyo nchi yetu aliyotuahidi na kutupa? kama akikuitika ndiyo, teta nae Muulize, je? yanayofanyika sasa ameyaruhusu? kama siyo, Mwombe...
Madaraka na Majukumu ya Mkutano Mkuu wa Kijiji[hariri | hariri chanzo]
Kusimamia na kuwajibisha watendaji.
Kuweka taratibu za namna ya kuitisha vikao vya dharura.
Kupitia Mkutano Mkuu Maalum wa uchaguzi kuwachagua Mwenyekiti wa kijiji na wajumbe wa halmashauri ya Kijiji.
Kujaza nafasi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.