Swali la msingi sana, uwa vinakosea wakati mwengine, swali la kujiuliza imekuwaje kutumia kigezo cha ulimi kutokuwa na mfupa kuwa ndio sababu ya sisi kukosea matamshi?
Wadau Habari za jumapili,
Kwa miaka mingi sana huu msemo "Ulimi hauna mfupa" umekuwa ukitumika hususani pale mtu anapoteleza kuzungumza jambo, nimekuwa nikijiuliza aliyetunga msemo huu alikuwa anakusudia nini na endapo ulimi ungekuwa na mfupa; je, watu wasingekosea matamshi?
Wataalamu mnaweza...
Waliwahi kunigonga hao madereva, alipita njia sio yake kukwepa foleni, kang'oa side mirror yangu, kanichuna na rangi, sitasahau hiyo siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lau ungepata ufahamu wa kuzitambua hizo dawa usinge andika maneno haya, na hakuna hapo dawa ata moja ambayo imetungwa kichwani mwangu, dawa zote hizo nimeelekezwa madukani, nenda kaulizie nina uhakika siku nyengine hauta andika comment kama hii ya kukatisha watu tamaa ya kusaidiana, ungetoa japo...
Sio vizuri kila jambo ukaliwekea dhana mbaya, bahati mbaya mimi sio mfanya biashara,hivyo vitu vyote nimeelekeza vinapatikana madukani, na hakuna popote niliposema nauza ata kitu kimoja na kamwe sina hiyo interest, shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo ya kuchanganya kitunguu Swaumu na vicks, niliyapata mtandaoni Kupitia mgonjwa anayesema alipona corona, ila habbat sawda na COGONI nilipata Kupitia mtaalamu wa dawa asili, so nikaona sio mbaya nikachanganya, na matokeo yake ikawa ni bora zaidi, Alhamdulillah.
Sent using Jamii Forums...
Huku ipo nyingi sana, kama utahitaji naweza kukusaidia kukununulia tu free ila Kopo dogo, useme tu upo wapi nione nawezaje kukutumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habbat sawda ni dawa ambayo waislamu wanaijua vizuri, mtume Muhammad (SAW) aliwahi nukuliwa akisema dawa hiyo inatibu maradhi yote isipokuwa kifo tu, so nikajalibu kuchanganya dawa nyengine zinazosaidia mfumo wa upumuaji,vicks, kitunguu Swaumu na COGONI, ili nipate matokeo Mazuri, na kwa hakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.