Recent content by ADOLPH EMMANUEL

  1. ADOLPH EMMANUEL

    Utitiri wa Kadi: Kwanini tusiwe na Kadi Moja ya Huduma za Usafiri inayoweza kutumika kwenye maeneo yote?

    Hii ni hoja ya msingi sana, kadi zimekuwa nyingi sana hadi kero. Inashangaza kuona hili jambo limefumbiwa macho. Hivi ni kwamba hatuna wataalam wa kusaidia kuifanya kadi itumike katika maeneo tofauti au changamoto ni nini? Ukibeba kadi za bank, vitambulisho na kadi za kusafiria unajikuta umebeba...
  2. ADOLPH EMMANUEL

    Tunahitaji kubadilisha mindset za Watanzania ili kuifikia nchi ya ahadi.

    Watanzania wengi (Waafrika) mindset zetu kuna namna bado haziko huru yaani bado zinatawaliwa na watu wachache hasa mataifa yaliyoendelea. Inawezekana nitakuwa natumia lugha ngumu kama nikisema tuna colonised mind. Ndio ni maneno makali lakini huo ndio ukweli. Kuna mambo tunashindwa kuyafanya na...
  3. ADOLPH EMMANUEL

    Programme zinazoanzishwa vyuoni, ni wajibu wa nani kuzipeleka kwenye soko la ajira?

    Hapo kwenye kuiandikia barua Sekretarieti ya Ajira naona inaweza kuwa initiative nzuri. Asante kwa hoja.
  4. ADOLPH EMMANUEL

    Programme zinazoanzishwa vyuoni, ni wajibu wa nani kuzipeleka kwenye soko la ajira?

    Sio kweli, kama mtu amesoma literature na ameopt course za linguistic ana vigezo vya kufundisha cTA ya communication skills. Nasema hivi kwasababu nafundisha communication skills kama TA. Mitaala mingi iayotumiwa vyuo vya kati haipo nje ya knowledge aliyonayo mtu wa literature. Baadhi ya module...
  5. ADOLPH EMMANUEL

    SoC04 Uongozi wa Edeni

    Uongozi wa Edeni Rushwa kama upepo wa kusi, inavuma kwa kasi, Inakita mizizi kila kona, inaibomoa Edeni, Kila mtaa kila kijiji, maendeleo yanabuma, Watu wanasaga meno na kulia, haki haipatikani. Uzembe kazini unatisha, unaenea kama magugu, Wafanyakazi wanalala, huduma zinakuwa mbovu, Ufanisi...
  6. ADOLPH EMMANUEL

    SoC04 Siasa na Taaluma

    Nchi yetu Tanzania, ni fahari ya Watanzania, Lazima tujue mipaka, na tusifanye mzaha, Siasa iwe njia, njia ya kuleta ufanisi, Lakini taaluma iheshimike, na isiburuzwe na siasa. Uongozi bora ni lazima, hili halipingiki, Lakini nafasi wapewe, walio na taaluma, Wasiathiriwe na siasa, katika...
  7. ADOLPH EMMANUEL

    SoC01 Ukombozi wa Kifikra miongoni mwa Watanzania kwa Maendeleo ya Taifa

    Andiko hili linaelezea suala la ukombozi wa kifikra kwa Watanzania na Waafrika kwa ujumla kama nyenzo ya kujikomboa kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni. Jamii ya watu wasiojiamini, wenye akili iliyofungwa, wenye kuwategemea watu wengine wawaletee maendeleo, wasioweza kufikria hatima yao...
Back
Top Bottom