Recent content by Adolf

  1. A

    Tunafanya Installation za TV Channel

    Mimi kama nataka hiyo huduma nitakupataje?
  2. A

    TCRA mko wapi mbona Ting wanaleta uhuni!!!

    Star Times hao ndiyo wana shida kubwa mno maana hata ukiingiza vocha bado unaweza kutumia muda mrefu bila kuona kitu na wakati mwingine inakuwa ni kero maana unakuta unaangalia yenyewe inasonya tu hata raha ya kitumia inakuwa hakuna. La kushangaza zaidi ukiwapigia simu wanakuambia kuwa...
  3. A

    Startimes decoder for tsh 50, 000/=

    Mimi kwa kweli hata kuisikia hiyo Startimes sitaki maana kwa kweli huduma zao haziridhishi kabisa, just imagine mtu unalipia kama kawaida halafu unakatiwa huduma bila sababu yo yote na ukipiga simu kuwauliza unapata jibu( ready made response) kuwa wahudumu wetu wanahudumia wateja wengine na hii...
  4. A

    mazda familia sports 20

    Ni vizuri uweke hapa ndani picha za hilo gari ili tulione hasa sisi tulio mbali na Dar es Salaam.
Back
Top Bottom