Recent content by adnani

  1. A

    Hodi hodi wanachitchat!!

    Mi pia mgeni naombeni mwongozo.manake naona kuna wengine wamenadi kuwa kuna vimwana ambao wapo tayari tayari......
  2. A

    Hodi hodi wanachitchat!!

    Sina la kusema mi napita tu
  3. A

    Hodi hodi wanachitchat!!

    Duuuuuuuuuhhhh
  4. A

    wadada ni nini huwafanya kupoteza hisia nzito za kimahaba kwa wenzi wenu...

    Ishanitokea hali kama hiyo ila mwisho wa siku nkafumania.... Ukiona hivyo jua kuna mahali anaguswa vizuri akija kwako. Soma alama za nyakati.....
  5. A

    Dume hili lanichefua jamani

    Mpende akupendae asiekupena achana nae. Huna haja ya kulazimisha mungu atakupa stahili kikubwa muweke mbele
  6. A

    namuonea huruma wifi yangu

    Ni vyema ukaongea na ndugu yako imagine kama ungekua wewe unatendewa hivyo ungejikiaje....
Back
Top Bottom