Recent content by ADMIRE

  1. A

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    Admission zilizotoka mpaka sasa ni duce udsm na mkwawa
  2. A

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    Alafu kule hawaweki namba wanaweka majina halisi so kama unataka uangaliziwe weka jina lako halisi
  3. A

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    Ebu ingia Google na andika hivi " majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga usdm 2015/2016" then utayapata
  4. A

    Ujue ukweli wa Lowassa kukimbia midahalo

    Mgonjwa huyo atazimia akiwa kwnye mdahalo hajiwez mpaka akili yake iboostiwe . Mzee wa kujikokotaaaa lowasa
  5. A

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Mtaishia kulalama tuuu kwa maana hamjielew lete hoja zenye nguvu kwan nyie mgombea wenu c kazoea kununua watu alishindwa kumnunua diamond ili aende nae kwny mikutano
  6. A

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Eti mabadiliko! Mabadiliko gan unataka ? Ishu hapa sio diamond ishu ni kwamba watu wamefika kwny mkutano na wamepata kile alichokizungumza mgombea
  7. A

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Taarifa tunazo mnaocomment hapa wote ni wana ukawa mlioandaliwa special kwa kaz hii . Mnaweka post alafu mnacomment wenyew .! Mnajidanganyaaaaaa hamna impact yyote vilazA nyie
  8. A

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Poor analysis its better kama huna LA kupost kaa kimya ! Nyie ndo mnawekwa kwenye kundi LA wapumbavu na malofa!
  9. A

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Ugonjwa ndo unaomsumbua na huu ndo upumbavu anaoufanya ! Ovyo kabisa hana lolote tu hapo ni kutafta umaarufu usiokuwa na maana
  10. A

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Akawadanganye wAtoto wadogo lakin watu wenye akili zao na mtazamo chanya juu ya mustakabari Wa nchi yet hatudanganyiki! Watanzania kuweni makin na uongo Wa huyu mwiz mweny uchu Wa madaraka
  11. A

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Huyu jamaa kituko kweli ! Amekuwa waziri kwa kipindi chote kile mbona hakuwa kufanya Hayo yote ? Huu ni uchu Wa madaraka na analazimisha kweli! Ataweweseka saaaaana
  12. A

    Mbinu mpya ya CCM imegundulika

    Chadema wasaka tonge tu
  13. A

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Ugonjwa au kuumwa kwa binadamu yeyote Yule ni jambo la kawaida na hakuna mtu ambaye anaweza kulikwepa kwa sababu lipo nje ya uwezo wa kibinadamu lakini kwa dalili za ugonjwa wake wa PARKISTON zinazotajwa hapa chini na ukizingatia unyeti wa kazi za RAIS ni wazi kuwa EDWARD LOWASA hafai kwa...
Back
Top Bottom