sasa huo ni ukorofi mana mi sioni la msingi hapo...! kama ulishaachana na huyo mwanamke! labda hujui wapi pa kukufanya uwe huru kifikra...! huoni kwamba utaenda kuamsha mambo mengine na huenda ukawatenganisha kabisa...!? mi nadhan kuwa huru kifikra kwakuwa ni mdhambi, rudi kwa imani ya dini yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.