Recent content by admbarongo

  1. admbarongo

    Wote wanao chat muda huu wamejawa na upweke

    rubii na ww ni mpweke ndo maana huna ucngiz?
  2. admbarongo

    Jamani shemeji mchepuko ananiwazisha

    sasa huo ni ukorofi mana mi sioni la msingi hapo...! kama ulishaachana na huyo mwanamke! labda hujui wapi pa kukufanya uwe huru kifikra...! huoni kwamba utaenda kuamsha mambo mengine na huenda ukawatenganisha kabisa...!? mi nadhan kuwa huru kifikra kwakuwa ni mdhambi, rudi kwa imani ya dini yako...
  3. admbarongo

    Mkopo HESLB

    mbona bado mapema, we ingia mtandaoni utakuta maelekezo yote on how to apply( olas)
  4. admbarongo

    Wote wanao chat muda huu wamejawa na upweke

    wengine wanasoma ndo maana wako macho muda huu
  5. admbarongo

    hello

    niaje wana axee ntapataje hayo majna ya waliokosea ya heslb?NISAIDIENI
Back
Top Bottom