Habari Wana JF
Nilikuwa naomba kujua clinical in medicine diploma ni miaka 3..
Lakini kwa certificate bado inanichnganya private wengine wanasema miaka 2 wengine 1
Hata government 1 wengine 2 asa inakuaje
Habari wanaJF
Nilikuw kuhusu clinical officer kwa waliosoma vyuo vyote vya private au gvt
Natak kupata experience je ukisoma cha private ajira zake ana ugumu wake
Na serkali pia
Nashukuru
Ahsantenii
Habari Wana JF
Nilkuwa naomba kujua na kufahamu mtu yoyote amabe anajua process za kuweza kuahamia chuo cha serikali kutok chuo cha private
Je inakuaje na nini uwe navyo hadi kuamia cha serikali
Nashukuru
Ahsanteeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.