Recent content by Adipoz

  1. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Kalvin kasema hana mpango wa kuondoka, hii inaweza kutupunguzia speed kwa rice, sidhani kama tuta hijack hilo deal.
  2. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Aisee grealish toka jumamosi anaparty tu non stop, huyu jamaa ni shidaa.
  3. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Good morning the european champions.
  4. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    [emoji23] arsenal watakupiga mawe.
  5. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    MAN CITY Transfer expenditure since 2016 £1.074 billion Archievement 5 EPL tittles 4 carabao cups 2 FA cups 1 champions league tittle 2 community shields MAN UTD £1.077 billion spent since 2016 Archievement 1 Europa league tittle 2 carabao cups 4 times champions league qualifiers. Pesa...
  6. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Watu wanalalamika mara oh City inatumia pesa nying ndio sababu wanachukua makombe, tangu pep kaja city, zimetumika £1.074 billion kwenye usajili, nyumbu toka hiyo 2016 wametumia £1.077 billion kwenye usajili ila hata top 4 tu ni mbinde. Pesa bila akili ni mzigo.
  7. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    [emoji23] watu wanawashwa mkuu, sasa ebu fikiria mtu kaishi kujificha kwenye kichaka cha man city haina uefa, unategemea atajisikia vipi baada ya kipyenga cha mwisho kupulizwa, tuwavumilie tu wajikune wamalize. Nb: more upupu to come, watawashwa sana tu.
  8. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Haaland kashamfunika messi mpaka hapo.
  9. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    HAALAND top scorer EPL Top scorer UCL UCL winner FA cup winner EPL winner Super cup (probably) MESSI world cup winner ligue 1 winner. world cup best player Duuh wacha tusubiri ila kiuhalisia haaland kampiga gep kubwa tu messi.
  10. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Sababu ya world cup tu?
  11. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Lina nyege hilo achana nalo mkuu.
  12. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Nmefurahi sana arsenal abaki mwenyewe huko
  13. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Manchester is blue
  14. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Mpaka sasa bado nimeduwaa, hili kombe tunaambiwa hatuna DNA nalo na hatutokaa tubebe,
  15. Adipoz

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Inter wanasogea
Back
Top Bottom