Bila shaka ww ni ke, wanaume tunajenga hoja kuhusu masuala ya mwenendo wa makolo, jibu iyo hoja au unahitaji kua mwanafamilia, mimi mke tayari ninae jadili mada sihitaji mke wa pili
Najalibu kujiuliza nguvu ipi wanaipata mashabiki ambao timu yao imefungwa mala nne mfululizo na mechi ya tano wameingia mitini kwa kuogopa kipigo lakini bado wanajipa moyo kujifanya wanatamba, wamezidiwa kwa makombe lakini bado wanatamba, ndio timu iliyofungwa magoli mengi zaidi na mechi nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.