Recent content by Adie

  1. Adie

    Natafuta mchumba mme

    Asante mpendwa
  2. Adie

    Natafuta mchumba mme

    Asante my dia
  3. Adie

    Natafuta mchumba mme

    Umri wangu ni miaka 29, mkristo,elimu chuo, nimeajiriwa na niko morogoro. Nimtakae umri 30-34,awe mkristo, mwajiriwa au mjasiriamali. Mengine tutafahamiana zaidi. Kwa PM kwa anae hitaji.
  4. Adie

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nimemjibu kulingana na alivyosema kuwa anataka mwanae alelewe vyema na kwahiyo anafikiri kumuoa huyo dada kitu ambacho ni kizuri.
  5. Adie

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nafikiri hillitakuwa jema zaidi kwasababu mtamlea mtoto wenu kwa pamoja kama familia. Mpaka kufanya mapenzi nae nafikiri wewe pia ulivutiwa nae vinginevyo isingewezekana kama wewe hukuwa na feelings
  6. Adie

    Msaada please: Tatizo la kutokwa damu during sex

    Hmmhh!! Huyu ndo uliyempata baada ya kutoa tangazo la kutafuta mke!?
  7. Adie

    Msaada namna ya kushare mawasiliano na mpenzi wangu bila yeye kujua

    Mmmhh!Naona huyo mchumba wako kama angeamua kufanya hilo unalotaka kulifanya ungeshaachwa kitambo!
  8. Adie

    Msaada namna ya kushare mawasiliano na mpenzi wangu bila yeye kujua

    Kabla hujamchunguza huyo mpenzi sijui mchumba unauhakika wewe ni mwaminifu kwake!! ukifanikiwa basi na wewe install hiyo kitu kwenye simu yake ili nayeye ajue jinsi unavyomsaliti.
  9. Adie

    Navunja ukimya: Hata mimi na mama Ngina huwa tunapeana za uso...!

    Ukiona wapenzi/wachumba wanasema hawajawahi kuwa na ugomvi/kutokuelewana kati yao, basi hawajawa tayari kwa ndoa. Wote au mmoja wapo sio mkweli na wanaficha tabia zao halisi
  10. Adie

    Nakupenda seniorita precious

    Tarehe 19/07/14 uliweka tangazo la kutafuta mchumba, baada ya siku tatu tu unasema huyu senorita ni mzuri wa tabia nk.sidhani kama kwa siku hizo umeweza kuzijua tabia zake vyema kama unavyosifia labda kama mlikuwa mnafahamiana kabla. Vinginevyo huo ni muujiza na kama ni kweli basi hongera sana
  11. Adie

    Nawezaje kubadilika?

    hata mimi hali hii inanipa shida. kuna wakati mwingine nasema siwatafuti hata kwenye simu lakini nashindwa kujizuia. Iweje mimi ninawajari washikaji/mashostito lakini wananikumbuka sana wakiwa katika shida!! siku moja nilikutana na usemi huu ambao hunitia guvu kila wakati " when people remember...
  12. Adie

    Kwanini wanaume viwembe/malaya (players) hupendwa na wanawake?

    nafikiri ni kwasababu "they know how to play the game well"
  13. Adie

    Machozi ni suluhisho la matatizo ya mwanamke?

    Kulia hupunguza maumivu. Mimi nikimuona mtu analia na kweli yupo kwenye tatizo namuacha alie mpaka anyamaze mwenyewe, baada ya hapo ndo naweza kuongea nae na kuangalia njia ya kutatua tatizo. Binafsi mimi ni mwepesi wa kulia na huwa sielewi kwa nini
  14. Adie

    Nahitaji mke; kwa aliye tayari karibu

    All the best
  15. Adie

    Passion Lady ajifungua mtoto wa kiume

    Hongera sana mamii, Mungu akukuzie mwanao
Back
Top Bottom