Wengi walio kosa mkopo ni watoto wa wa kulima na kumbuka kila mwanafunzi alilipa non refundable 30000 ukizidisha na walio kosa mkopo tayari ni mtaji wa kunepesha staff wa board
Mkuu ukisema wenye dv 1 ndo wapate mkopo utakuta weng ni wale waliotoka shule za wenye hela na sent kayumba tutakuwa hatuendi vyuo hapo mi sikuung mkono mkuu
Mi naona bodi hawana tatizo tatizo ni selikali inapokuwa inapanga bugdet yake kinachotakiwa ni kuandamana kupinga hili na watanzania tunatakiwa tujitokeze kwenye mandamano kama waarabu sio tunakaa majumbani tunasubiri wengine waandamane
Mi nakushauli subiri maana hicho chuo wanajua board hawajatema bado na watu wengi wanategemea board ndo waende kwa hiyo hawawezi kufanya chochote mpaka board wateme mi mwenyewe naweiti board ndo niende
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.