Recent content by adelinus

  1. A

    Gx 110 na IST

    Chukua GX 110 inakimbia pia ina injini kubwa ya kuimili safari ndefu
  2. A

    Imepata ajali kwa wale wanaochinja magari karibuni

    Hiyo gari nzima..nataka tufanye biashara
  3. A

    Msaada: Mlango wa Nyuma haufunguki kwa ndani na kioo hakishuki

    Chomoa betri alafu uchomeke. Kikishindwa tatizo litakuwa zaidi ya jamming
  4. A

    Umeme unapita katika kiwanja changu

    Je TANESCO wakiwa wamepitisha nyaya zao katika kiwanja chako pale unapotaka wakupishe kuna gharama nitaingia mimi kama mmiliki wa kiwanja? Naomba jibu
  5. A

    Gearbox ya GX 110

    Naomba ushauri. Je Gearbox ya GX110 inaweza fanya kazi kwenye gari ya VVTI HIACE injini yake ni 1TR. Mwenye uzoefu na mambo haya naomba majibu.
  6. A

    Habari wana jamii forum

    Naomba kuuliza, geabox ya Mark II inaweza kufanya kazi kwenye hiace?
Back
Top Bottom