Naye anaumia na habari za uongo? Maana wengine hasa serikali ikilalamika kuhs habari za uongo, INASAKAMWA mpaka basi.
Uhuru wa kujieleza wanaoupigania n upi?
SIYO HAYO TU ... FIkiria nini kingetokea iwapo wabunge wa CCM wangeungana na wa upinzani, ktk kukwamisha hoja ya serikali, na wakafukuzwa (whip withdraw). Naamn CCM ingetukanwa hakuna mfano, lakn kumbe n jambo la kawaida. Wabunge wa conservative wamefukuzwa kwa kuungana na waupinzani kupinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.