Hawa jamaa wapo vizuri sana me nilichukua gari kwao halina hata miezi 2 but usiwatumie wale wa pale NHC watakupunguzia dollar 100 watumie SBT wa Japan utapata kwa bei nzuri sana
wadau habarini za jion samahani naomba kuuliza ist 1NZ ingine 1490cc na ist 2NZ engine 1290cc kati ya hizo kubwa ni ipi na ulaji wa mafuta unatofautiana au upo sawa na spear ni tofauti au sawa kwa bei nahitaji kujua kwa mtalaamu
Nauza nissan march shiling million 4.2 kamili no discount clean inside na mziki wa kutosha imetembea km 140250 ipo dar kwa aliye serious an pm 0714511079
wadau habari leo ningependa kushare nanyi imekuwa desturi yetu kutotoa mrejesho mara baada ya kutumia dawa tulizoelekezwa na kupona
mdogo wangu alikuwa anasumbuliwa na bawasiri ambapo alipoenda hospitali walimpa dawa inayoitwa ANUSOL SUPPOSITORIES awe anaingiza kwenye njia ya haya kubwa kwani...
huo sic ugonjwa bali ni dalili ya mwili kuwa na sumu nyingi mwilini wanasema tiba yake utumie sana machungwa kwani yana vitamini c ambayo uondosha sumu ukishindwa kuna tiba mbadala tumia absolvent c inasaidia sana kuondosha sumu kwani ina vitamin c kwa wingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.