Recent content by adamu daud lukanka

  1. A

    Wazanzibari wamuadhibu Seif kwa kushirikiana na Lowassa

    Unaposema makafiri wabala umenikosea sanasana.mi niwabara ila swala lamashekhe wazanzibar linaniumiza moyon sana.cozi liko kisiasa tu.nawaliowakamata wanamalengo yao lkn likowazi kwamba mashekhe hawana hatia
  2. A

    Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

    Upuuz gani huo raiswanchi unashindwakuweka wazinakuchukua hatua et swala nyet km hilo unalisemea kwenye majukwaa yasiasza? Kiongoz gani wanmna hii.unaushahd mfunge huna just keep quit and shut up
  3. A

    Mtoto wa Kingunge, Kinje amtaka baba yake aache kutumiwa

    Mbona Hussein mwiny hajamwambie mwinyi aachekutumiwa.kingunge anajitmbua.ukifikilia kwaakili zaid utagundua kwakauli hiyo yakinje yy ndoanatumiwa.
  4. A

    Mtoto wa Kingunge, Kinje amtaka baba yake aache kutumiwa

    Kingunge tu hamjawaona akinamama nyerere wakitumiwa?
  5. A

    GE2015 Magufuli: Nitawabeba Wafanyabiashara waliyonisapoti kwenye Kampeni, mfano Diallo

    Hapo ndipo uwzowake ulipofika.imebaki mtz kutsfakar kwakina
  6. A

    Polisi wazuia matembezi ya amani ya BAWACHA Dar es Salaam

    Hata akuweka picha utasema ametengebeza kweyd net km alivosema raisi wako.
  7. A

    Wachumi tuambieni, ahadi za Lowassa ndani ya siku 100 zinatekelezekaje?

    Anayeuliza asaidiwe naona hayuko tayar kusaidiwa anauliza nakujibu mwenyewe ungetupata nafas tungekujibu vizur.
  8. A

    Haya yote yatakwisha ngoja Magufuli aingie

    Kwan wagambo haokaz hiyo walipewa nanani km c seriksli yaccm? Wanafanya madudu then eanajihukumu wenyewe.
  9. A

    Lowassa aingiza Waisrael kutoa mafunzo ya Kijeshi, Apson Mwang'onda ndiye anadaiwa kuratibu

    Kumbe nikwaajili yaulinzi wake.sasa unachoshangaa nn.
  10. A

    TCRA: Wasio wawakilishi wa Vyama hawaruhusiwi kushiriki vipindi vya moja kwa moja kuongelea Uchaguzi

    Hakuna chakuwasfia TCRA kwani she ria hiyo imetungwa Leo? Siilikuwepo toka mwanzo mnonainakuja kutiliwa mkazo leo baada yawatu km akinapolepole slaa nawengine kutumika nakushindwa ndowakaze.hawanajipy tumeshawashtukia.ilikuwa mda wavyama pinzan kukaa kwenyedia wamestukia dili.tumeona ccm...
  11. A

    Kampeni za UKAWA/LOWASSA zimekwamia wapi??

    Mheshimiwa lowsa yuko zenj kwenye yzinduz wakampeni zilizoanza rasmi mda mfupi uliopita
  12. A

    UKAWA, huu wimbo uliishia wapi?

    Ukawa hawaendi kupiga show manukwaan wananad sera tu.show ccm
  13. A

    Juhudi za Gwajima katika siasa, kipi anatafuta?

    Usiongope wote tumemsikia nawala hajaacha kazi yakiroho.jiulize ww mwenyewe ambaye hukumuelewa.
Back
Top Bottom