Elections 2015 Magufuli: Nitawabeba Wafanyabiashara waliyonisapoti kwenye Kampeni, mfano Diallo

Magufuli ni janga...!!! Mnafiki sana...!! Muongo kupita maelezo..!!!

Imagine, it means, ANASEMA HIVYO, akiingia madarakani tumekwishaaaa... mtu kama Diallo HATALIPA KODI MILELE ikiwa Magufuli atashinda... upumbavu ule uleeeee... TAX HOLIDAYS...!!! Na hii ina maana wafanya biashara au makampuni say ya makandarasi ambao HAWAKUMSAIDIA ataua biashara zao kwa KUWALIPISHA KODI HADI WAKOME au hata KUWABANA MAZINGIRA YA BIASHARA ILI KUWAUA, pia HAWATAPATA TENDA kwa makandarasi kabisa... hii hatari sana..!!!

Huyu hafai jamani...!!! Noooo..!!
 
Hii kauli aliitoa Dr. JP Magufuli alipokuwa kwenye Jukwaa la kampeni huko Geita

Sasa, nauliza atawabeba vipi hao wafanyabiashara kama Diallo?

Au watapewa Msamaha wa Kodi?

Kama Mgombea Urais anatuaminisha vipi kwamba atatusaidia maskini?

Au through kuwabeba matajiri waliyomsaidia kwenye kampeni, na sisi maskini tutafaidika?

Hizi Kauli zingine kama Mgombea Uraisi siyo za kuongea Jukwaani

ok,,,lowasa amesema yeye hatawabeba waliomsapoti,,,,ok,,,unaamini hilo?...




tatizo la magufuli sio mnafiki
 
Magufuli kwa uropokaji tu hajambo,kuna muda anaongea kitu unaishia tu mtu kushika mdomo.Kukurupuka kwingi
 
Mkijibiwa sawasawa na upumbavu wenu mnaanza kulalamika. ENL hajatembea na make wa Mtu yeyote? Je tutoe otodha yake? Tunahurumia waliotendewa. Mnahoji kama fisadi mnbona hajashtakiwa ila mnaowatuhumu wameshtakia mahakama ya CDM. JPM in mkweli naye ENL aseme akishinda atamtoza Jodi Rostam?

Hebu tutajie orodha ya hao wake za watu Lowassa aliotembea nao ?? Eti mnahurumia waliotendewa ....kwa navyowajua Ccm hii ingekua agenda yao kuu
Tulia tutarudisha heshima ya ikulu Oct 25
 
Tatizo la Magufuli ni kuropoka ovyooo. Uwezo wake wa kufikiria madhara ya uropokaji pia ni mdogo mno. Ni hatari kuwa na Rais wa aina hii.

Kwa hiyo ni bora uwe na rais ambaye anapoteza kumbukumbu na kujinyeanyea?
 
Akiwa moshi, mkinichagulia huyu mbunge wa ccm, nitawajengea barabara za rami mji wote,

baadae kidogo mimi ni wa watu wote. anasahau barabara sio lazima tukuchagulie mbunge wa ccm. ni kwa aju=ili ya watu wote.


ameingia kwenye siasa bila maandalizi
 
Akiwa moshi, mkinichagulia huyu mbunge wa ccm, nitawajengea barabara za rami mji wote,

baadae kidogo mimi ni wa watu wote. anasahau barabara sio lazima tukuchagulie mbunge wa ccm. ni kwa aju=ili ya watu wote.


ameingia kwenye siasa bila maandalizi

Sasa Moshi mjini ni wapi hakuna barabara ya rami?? Huyu mzee vipi huyu
 
ila kuropoka kwake kunatusaidia kujua kilichopo moyoni mwake,na kufanya maamuzi sahihi jumapili, sio wale wenzie wagombea uraisi waliomtangulia wa chama chake wana piga kelele watawabeba maskini kumbe nyumbani wameandaa mbeleko ya kubebea wafanya biashara waliowapa hela za uchaguzi, na wanafahamu kabisa maskini na tajiri hawabebeki kwenye mbeleko moja ukibeba mmoja basi mwingine aandike maumivu....
WELL SAID...!! umesema sawaswa!! huwezi kula kwa mikono miwili..!!
 
Hii kauli aliitoa Dr. JP Magufuli alipokuwa kwenye Jukwaa la kampeni huko Geita

Sasa, nauliza atawabeba vipi hao wafanyabiashara kama Diallo?

Au watapewa Msamaha wa Kodi?

Kama Mgombea Urais anatuaminisha vipi kwamba atatusaidia maskini?

Au through kuwabeba matajiri waliyomsaidia kwenye kampeni, na sisi maskini tutafaidika?

Hizi Kauli zingine kama Mgombea Uraisi siyo za kuongea Jukwaani


Atawabeba wasilipe kodi!:llama::llama::llama:
 
Taifa hili tutakuwa na hasara sana tukipeleka ikulu mburura kama Magufuli ukimsikiliza kwa umakini unagundua kabisa hana busara ya kushika madaraka makubwa kama ya Rais! Huyu anatoshea nafasi ya uwaziri na siyo hicho anachotafuta!! Wote tuseme HAPANA KWA MAGUFULI!!
 
kama ndio hivyo nina kashamba kangu kaurithi kule kijijini ngoja nikauze nikusaport mzee ili unikumbuke.
kweli alie masikini atabaki kuwa masikini na tajiri anaemsaport magufuli utajiri wake utaongezeka.
With this statement bado kuna watu wakawaida tuu watamchagua makufuli kweli.
Mungu ametupa masikio ila hata tukisikia hatuelewi kbs.
Ooh God we need your deliverance in the name of Jesus Christ. Amen
 
Back
Top Bottom