Recent content by Adama H

  1. A

    Jinsi ya kuwafanya wateja wako wajione wanatumia bidhaa au huduma yako kabla hawajanunua

    Hizo Ngombe anunua kwa Lengo Gani Kufuga au Kwa Ajili ya Biashara ya Bucha
  2. A

    Jinsi ya kuwafanya wateja wako wajione wanatumia bidhaa au huduma yako kabla hawajanunua

    Rafiki Sasa ivi ni saa 9.30 asubuhi. Ndio muda ambao nimeamua kukuandika makala hii fupi na kwanini nimekuandika makala hii muda huu. Nimekuandika makala hii wewe mjasirimali, Mfanyabiashara unayehangaika kupandisha mauzo ya Biashara yako upate kujifunza na kufahamu moja ya mbinu ya siri...
  3. A

    Hayati Magufuli alikuwa kipenzi cha watu wengi. Leo status za WhatsApp za watu wengi zimejaa picha na video za JPM, chuma cha Pua

    Binafsi JPM nilimpenda kwenye ku control mfumuko wa Bei na nilimpenda kwenye uwezo wake mkubwa wa kutekeleza miradi mikubwa yote kwa yote JK kwangu ndio Raisi Bora wa wakati wote aliyewahi kupitia hapa Tz
  4. A

    Jinsi Ya kuwafanya Wateja Wanunue Bidhaa/Huduma Zako Pasipo Kujitambua Wamenunuaje....

    .Uliwahi kwenda maeneo ya Soko kama karikoo au mnadani kufanya Manunuzi ya Bidhaa tofauti Tofauti LAKINI .Wakati unafanya matembezi maeneo tofauti tofauti ya soko kusafishia macho ukiwa huna Hili wala lile .Gafla unakutana na Mfanyabiashara au machinga ana anza kukushawishi .Ununue Bidhaa...
  5. A

    Shamba nililonunua kwa Tsh laki 3 mwaka 2009 leo hii thamani yake imevuka Tsh 40m

    Ardhi ni kitu Cha kukiheshimu sana ardhi na Dhahabu achana navyo kabisa kwenye kutuza thamani ya hela
  6. A

    Kama umesoma kwenye moja ya hizi university hapa wewe ni mwamba

    Sjapenda kwahiyo sisi wa mwalimu Nyerere memorial academy hatutambuliki
  7. A

    Kama Unataka Kuzalisha Kuazia Milioni Moja na kuendelea kwenye Biashara Basi fikiria kuwekeza kwenye haya Maeneo Tisa

    Ukiwekeza kwenye Haya Maeneo Tisa Guarantee ya Kutengeneza pesa ni asilimia 💯 1. Afya Kwa mujibu wa jarida la Forbes Mwaka 2024 kampuni za Networking Marketing zinazouza bidhaa za virubutushi vya afya Africa ziliweza kuvuna Dola za ki marekani 1.2 bilioni Sawa na Trilioni 2.5 za Ki Tanzania...
  8. A

    Tumia Mbinu Hii Kupandisha Mauzo Ya Biashara Yako Mara 10 Zaidi Ndani Ya Siku 30...

    Je ungependa kupandisha mauzo ya Biashara Yako Mara 10 Zaidi Ndani Ya Siku 30 Kama jibu lako Ni Ndio Basi Naomba Uniazime Dakika zako Tano Tu Niweze Kukuonesha jinsi Ya Kufanya Hivyo Twende pamoja Kwenye Ulimwengu Wa Mauzo Kuna Siri inatumiwa sana na kampuni chache kupandisha mauzo ya...
  9. A

    Tumia mbinu hii kupandisha mauzo ya Biashara Yako Mara Kumi zaidi ndani ya siku 30

    Je Ungependa kupandisha mauzo Ya Biashara Yako Ndani Ya Siku 30 Kama jibu lako Ni Ndio Naomba Uniazime Dakika zako Tano Nikuoneshe Jinsi Ya Kufanya Hivyo Twende pamoja Kwenye Ulimwengu Wa Mauzo Kuna Siri Inatumiwa Na kampuni Chache Sana Kupandisha Mauzo Ya Kampuni zao Kama Vile...
  10. A

    Soma Hii Kama Unataka Kuanzisha Biashara Ya Kukutengezea Pesa Ndani Ya Mwaka 2026

    Rafki Kwa Wewe Ambaye unataka Kuanzisha Biashara Yako Ndani ya Mwaka 2026 ili Uanze Kutengeneza Pesa ya Uwakika Kuna Kitu Cha Msingi sana ambacho Unatakiwa Kukifahamu Na, Kitu Hicho Ni Soko La Bidhaa au Huduma ambayo unaenda Kutoa au Kuuza Na je Soko Ni Nini? Kwa Mujibu wa Stefan Georgi...
Back
Top Bottom