Recent content by Adama H

  1. A

    JamiiForums Tanzania Malizia hii sentensi: Tanzania ukitaka kuishi kwa furaha usikose…..?

    Kivuli hakidanganyi
  2. A

    JamiiForums Tanzania Malizia hii sentensi: Tanzania ukitaka kuishi kwa furaha usikose…..?

    Uwongo Zambia shape unayo afu ata uzuri pia inaonekane ni mzuri Bila shaka wewe ni pisi ya chuga
  3. A

    JamiiForums Tanzania Malizia hii sentensi: Tanzania ukitaka kuishi kwa furaha usikose…..?

    Shape IPO mama kivuli hakidanganyi
  4. A

    JamiiForums Tanzania Sababu kubwa tatu za kwanini watu hawanunui Bidhaa/ Huduma Yako

    Kutoka mezani kwa Adama H kigamboni Dar esaalam Rafiki Ndani ya second 60 zijazo Nitaenda kukuonesha sababu kubwa Tano za kwanini wateja hawanunui Bidhaa au Huduma Yako Na Hizi sababu haijalishi una uza nguo,Viatu,magari,viwanja nyumba nk Zinaingia kote kote Twende pamoja Sababu ya...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Tumia haya maneno Manne kwenye matangazo yako ili kuwashishi wateja wako wachukue hatua fulani

    Kwenye Uzi uliopita niliandikia neno Moja tu la kutumia ili kuwashishi wateja wako wachukue hatua unayoitaka kwenye Matangazo Yako Either iwe kupiga simu, kuboyfa link, kuweka order,kujaza fomu ya Mananuzi,kununua Bidhaa zako nk LAKINI Leo nitamalizia maneno mengine matatu ya kuyatumia...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya Kumshawishi mtu afanye kitu unachokitaka kwenye Matangazo Yako, ujumbe wako nk kwa kutumia maneno haya matano

    Rafki mpendwa Leo nakuletea maneno matano yenye Nguvu ya kisaikolojia unayoweza kutumia katika Matangazo, mazungumzo Yako ujumbe wako nk Ili uweze kuwashishi watu wachukue hatua Twende pamoja Neno la kwanza ni Neno WEWE Hili neno wewe Lina Nguvu zaidi kwenye Ushawishi kwa sababu Binadamu...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuwafanya wateja wako wajione wanatumia bidhaa au huduma yako kabla hawajanunua

    Unawaonaga wamasai wanavyouza ngombe minadani mara nyingi wanavyokushawishi kwa kukwambia maneno ambayo yatakufanya ujione tayari unamiliki ngombe wengi mfano mara nyingi utasikia wanasema ukinunua huyu ngombe lazima zizi lako lijae atakazulia watoto wengi Hadi utaongeza zizi jingine...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuwafanya wateja wako wajione wanatumia bidhaa au huduma yako kabla hawajanunua

    Hizo Ngombe anunua kwa Lengo Gani Kufuga au Kwa Ajili ya Biashara ya Bucha
  9. A

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuwafanya wateja wako wajione wanatumia bidhaa au huduma yako kabla hawajanunua

    Rafiki Sasa ivi ni saa 9.30 asubuhi. Ndio muda ambao nimeamua kukuandika makala hii fupi na kwanini nimekuandika makala hii muda huu. Nimekuandika makala hii wewe mjasirimali, Mfanyabiashara unayehangaika kupandisha mauzo ya Biashara yako upate kujifunza na kufahamu moja ya mbinu ya siri...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alikuwa kipenzi cha watu wengi. Leo status za WhatsApp za watu wengi zimejaa picha na video za JPM, chuma cha Pua

    Binafsi JPM nilimpenda kwenye ku control mfumuko wa Bei na nilimpenda kwenye uwezo wake mkubwa wa kutekeleza miradi mikubwa yote kwa yote JK kwangu ndio Raisi Bora wa wakati wote aliyewahi kupitia hapa Tz
  11. A

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya kuwafanya Wateja Wanunue Bidhaa/Huduma Zako Pasipo Kujitambua Wamenunuaje....

    .Uliwahi kwenda maeneo ya Soko kama karikoo au mnadani kufanya Manunuzi ya Bidhaa tofauti Tofauti LAKINI .Wakati unafanya matembezi maeneo tofauti tofauti ya soko kusafishia macho ukiwa huna Hili wala lile .Gafla unakutana na Mfanyabiashara au machinga ana anza kukushawishi .Ununue Bidhaa...
Back
Top Bottom