Ni wazo zuri kwa mataifa yaliyoendelea sio Tz. Ziwa Victoria limesaidia wengi mpaka kupata ajira serikalini hadi leo kuna watoto wanapata mahitaji ya Nyumban na Shuleni kutokana na ziwa victoria. Kuna aja ya kutafuta njia sahihi ili wavuvi wadogo wasiumie
Mshukru Mungu kwa kukuonesha mapema uyo sio mtu sahh kwako. Kwakuwa ajaondoka na kitu ata kimoja ulichozaliwa nacho na unapumua endelea kupambana na maisha atakuja mtu sahihi mpaka utajiuliza alikua wapi?
Nchi hii kila mwananchi ale kwa uwezo wa akili yake. Nchi haina mapungufu katika sekta ya elimu,afya,miundo mbinu, n.k ndio maana rais anagawa pikipiki nchi nzma
We mwenyewe kahaba ndo maana unatetea chama. Ila awaache tu maana Dunia iko ukingoni kuzuia ukahaba ni kazi ngumu sana kama virus(wazungu) vinaingia nchini utaponea wapi? kwao kule ishakua kawaida tu
Mnaompinga Dc mnaona kakosea kwan wote walokamatwa sio madada poa? Hii Nchi tulisha kosea kuilekebiasha zaman tunakoelekea mashoga, madadapoa litakua jambo la kawaida kama kwa wazungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.