me nafikir izo pesa zinazo2miwa na serikali kwa ajil ya mafunzo ya jkt kwa wanafunz wa kidato cha sita 2013 zifanyiwe mrad ambao mwisho wa xku 2tanufaika nao.....'
maadam tokeo la kdat cha 4 yashtoka,bax ya kidato cha 6 yapo mbion.'a don thnk dat diz wik itakwshw bila tokeo kutangazw.' xo zile preshpresh na tabir nyingnying zitkuwa zmefk kikom...#
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.