Recent content by Adabwash

  1. A

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa/ukizamia tu America 🇱🇷 tayari una asilimia 95% za kufanikiwa

    Umesema kweli kabisa,Kwamaana hiyo kwa locals WA USA ambao hawategei kutuma hela nyumbani Hawana tofauti na WATANZANIA
  2. A

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa kuwa Naibu Gavana wa BOT

    Hata wakati WA magufuli alivyokuwa akiteua wasukuma wenzie,mlikuwa mkisema wanateaua sukuma gang wenzake nakwamba nchi anajimilikisha,Chuki zitawamali
  3. A

    JamiiForums Tanzania Je, Utatu Mtakatifu uliwezaje kuwepo kabla Mwana hajazaliwa?

    Naona Umeandika Baba ukasahau MAMA, Ukaweka SON ukasahau mke Mke Baba,
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kama Qur’an ni ya watu wote kwanini ilishuka kwa Kiarabu?

    Hata ingeshuka kwa Kikwenu pia bado ungeuliza why imeshuka Kikwenu,Nikuulize kwani Biblia ilishuka na lugha nyingi nyingi au lugha Moja Tu?halafu wengine wakaigeuza kwa lugha zao na kuzibadilisha kwa maaganano tofauti tofauti HUKU wakipunguza au kuongeza baadhi ya vitu from the original verses
  5. A

    JamiiForums Tanzania Watanganyika Samia anatumia nguvu nyingi kutuharibia nchi yetu, Kwanini sio Dkt. Shein?

    Wivu,choyo Ubaguzi,udini,wivu na choyo vitakumaliza kidogo kidogo
  6. A

    JamiiForums Tanzania Kuifuta CCM sio kuondoa matatizo ya taifa hili. Hiyo ni propaganda yenye uongo Mkubwa

    Mbona pia vyama vya siasa visiyo CCM navyo vyatuhumiama RUSHWA,hela Chafu,kugombania uongozi na mwengineyo meengi Tu,
  7. A

    JamiiForums Tanzania Sioni wazungu wakitoboa. Hawazaliani lakini wamekuwa wakiingiza mamilioni ya wageni wanaozaliana kwa wingi

    Sasa simuende kwa wingi nyinyi waabudu Mtu kwenye picha?ili roho yako ya kidini zaidi itulie,
  8. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuwaongoza waombolezaji kuaga Mwili wa Jenista Joakim Mhagama aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho

    Kifo NI fumbo waweza Anza wewe Kwanza kabla yake,
  9. A

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Bulgaria yajiuzulu baada ya wananchi kuandamana kupinga Rushwa

    Vipi huko Wamechoma Moto vituo vya daladala na Mabus?VP Kuhusu kuiba maduka ya Watu yamevunjwa huko Bulgaria?,kuchomea Watu nyumba zao je?
  10. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA Jenista Mhagama, Mbunge wa Peramiho afariki dunia

    Sio wote Sema wewe na wendako km wewe sio wote
  11. A

    JamiiForums Tanzania Kesho tutoke kwa wingi sana!!

    Safari Uombe dua Sana urudi Salama kama mara yakwanza
  12. A

    JamiiForums Tanzania Maeneo mengi ya Dar Es salaam kuna GARI CRUISER za plate Number za Mchongo zimeegeshwa kama vile kuna tukio wanajiandaa kulifanya

    Ukishapiga kiberiti vyote hivyo,wewe mwenyewe na vizazi vyako na shangazi zako mtakuja kuishije?kama Una hasira kwann usianze kuchoma Mali zako wewe mwenyewe Kwanza na nyumba yenu ya urithi ili ufahamike kama umekasirika?Kwann usichoke mali za ukoo wako?Nasubiri unipe matusi yangu manake ndo...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Uliza vijiwe vyote vya boda hawakuhusika na maandamano ya wahuni

    Nenda kashambulie polisi vituoni,bado wapo
  14. A

    JamiiForums Tanzania Nani huongoza nchi wakati wa uchaguzi Tanzania?

    NI wakati gani mamlaka ya Rais aliyepo madarakani hukoma katika kipindi cha uchaguzi kabla ya Rais mpya hajaapishwa?
Back
Top Bottom