Nimeishi maisha ayo for 6years mwaka huu tu ndio nimeingia kwenye system nyingine😃😃 kutoka ni ucku kwenda kula mtaani wananionaona Tu na wanatamani kunijua lakini wapi
Ni sahihi panga vyeti vyako transcript hawazingatii Sana mara hivyo vyeti wanataka kuhakiki Tu tena wale watu wa utumishi au unaweza kuweka iyo transcript mwishoni mwishoni yaan panga ivi Anza na o'level,A'level then transcript maliza na cha chuo apo Sana nenda kwenye usahili tuliza akili mkuu...
Wapi wameandika wanaenda kudhalilisha ukristo apo Muhammad Vs jesus Kwa upande wa uislam wote hawa ni mitume na katika moja ya nguzo ya Imani kwenye uislam ni kuamini mitume wote kwahiyo usitegemee atatukanwa yesu/ ISSA wao watawachambua hao mitume kulingana na kitabu chao(quaran tukufu) basi
Sasa hapa mkuu umekua too personal Sana kumu attack na huu ni mtazamo wako lakini ukweli unaweza ukawa sio huo unavyofikilia siasa ina mambo mengi Sana ndani yake mimi na wewe hatujui kila mtu ataunga mkono mtu wake kulingana na anachonufaika nacho kutoka kwake ndio maana kuna usemi husema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.