si kauli ya pinda tu alipiga sana kelele dhidi ya udhalimu aliofanyiwa dr ulimboka na serikali huyu mama alipiga sana kelele aliingia barabarani pamoja na ananilea nkiya kupinga ukatili huu dhidi ya dr ulimboka na madactari kwa ujumla
nakuhurumia sana juliana shonza ukawa wametulia wanawachungulia kwa mbali sana wanawacheka mnavyoangaika wanajua hakuna wakushindana na dr slaa pangeni safu yenu ya mafisadi ukawa itaweka jembe halafu utaona coverage dr sasa yuko kimya sana hana mapepe anaandaa namna yakuweka makombora yake...
hatuna haja na uamuzi wa mahakama kuna uamuzi wa tume halali ya kisheria na moja ya tume ya muhimili mkuu wa serikali ambao ni bunge ilimthibitisha hili jitu ni jizi sasa mahakama ya nini kwa hilo?
unajua maana ya uchochezi au umesoma vizuri sheria ya mabadiliko ya katiba kipengele cha kura ya maoni haikatazi mtu kupinga kwani kitakacho fanyka is same kama kampeni za uchaguzi na hii sheria haimzui mtu kupinga mapendekezo yaliyotolewa ma fisadi namba 2 wa kwanza ni lowassa na watatu ni 6 na...
nimependa sana hii speach lakini mwalimu nyerere akuwa msaliti na nyuso mbili kama wewe unajifanya mpinga mafisadi lakini hao unaowapinga unakaa nao na kura nao pesa za wizi na kuandaa nao mikakati ya kuvuruga upinzani kisa umimi mwalimu akuwa mbinafsi hakutaka madaraka kama unavyotaka wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.