Recent content by Acm98

  1. A

    Wanafunzi 490,103 wa Kidato cha Nne-2020 waanza kufanya mtihani wa Kitaifa leo

    Kila la kheri katika mitihan yao, mungu awatangulie
  2. A

    Naomba kueleweshwa maana ya taarifa hii ya Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB)

    Wakuu twendeni chuo tukapambane ,,binafsi maumivu nliyopitia kipndi nasubri mkopo hayatafutika kirahisi,,pia kwa wale ambao bado hawajabahatika batch 2 mungu awatie wepesi kwenye magumu mnayopitia ,,,ni ngumu kuukubali ukweli ila kila jambo linakuja na sababu .
  3. A

    Naomba kueleweshwa maana ya taarifa hii ya Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB)

    Mbona ata kwangu wananiandikia hvyo ila niki click kuangalia wanasema batch 1 sijachaguliwa nisubir batch nyingne wanaanisha nn? Msaada plz
  4. A

    Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

    Binafsi nafahamu hilo ,,ila tunakosea sana kuwatwisha mizigo ya lawama wale 11 wanaolipambania taifa kwa kuvuja jasho uwanjan
  5. A

    Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

    Ni mapuuz ila bado hayajakufikia ,,sema upuuzi wako niwaviwango sana
  6. A

    Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

    Katika hizo match mbili tukipata point 4 n nzur sana kwetu
  7. A

    Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

    Na wakimaliza match hao waume zako uende nao
  8. A

    Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

    Match zilizobaki stars tupo away au nyumban??
  9. A

    Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

    Warundi vpindi kama hivi ni rahsi sana kuwatambua !!
  10. A

    Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

    Dah,, matokeo bado hayatupi nafasi kbsa ,,hii match muhimu kushinda
Back
Top Bottom