financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,131
- 40,692
Nami pia bado nakutana na huu ujumbe🤷♂️Hapa nimekosa wadau hali ni ileileView attachment 1629001
Nami pia bado nakutana na huu ujumbe🤷♂️Hapa nimekosa wadau hali ni ileileView attachment 1629001
lazima wataweka 2 coz walsema m2 anatakiwa ajue deni lake had anavo maliza itakua sh ngapSisi wa second sijui wataweka mkuu
Naona wameshawawekea tayar miaka yote...Sisi wa second sijui wataweka mkuu
Kiwango gani mkuu?U
Ukifeli chini ya kiwango bodi huwa inakuondolea mkopo
Hakunaga icho kitu pesa unaisotea waliochuoni wanufaika wanasubiri matokeo yatumwe Bodi wapewe.
Dada sorry nakuomba PMNami pia bado nakutana na huu ujumbe
Miaka yote wanawekaje?Naona wameshawawekea tayar miaka yote...
Unanitisha mkuu, leo upo serious siyo mkwe tena🤔Dada sorry nakuomba PM
Mama mkwe nakuomba ukoUnanitisha mkuu, leo upo serious siyo mkwe tena
Mmh siji nimeshtuka😀 sema hapa hapa tu usijaliMama mkwe nakuomba uko
Umeelewa swali lakin au unajib 2Hakunaga icho kitu pesa unaisotea waliochuoni wanufaika wanasubiri matokeo yatumwe Bodi wapewe.
Bhana mama mkwe sio fair nipo seriousMmh siji nimeshtuka sema hapa hapa tu usijali
Khe..
Aah hapana, funguka hapa hapa aiseeBhana mama mkwe sio fair nipo
Muoga kweli kumbeAah hapana, funguka hapa hapa aisee
Kiwango gani mkuu?
Chuo gani unaenda MkuuWakuu twendeni chuo tukapambane ,,binafsi maumivu nliyopitia kipndi nasubri mkopo hayatafutika kirahisi,,pia kwa wale ambao bado hawajabahatika batch 2 mungu awatie wepesi kwenye magumu mnayopitia ,,,ni ngumu kuukubali ukweli ila kila jambo linakuja na sababu .