Recent content by ackundya

  1. A

    Nabii Flora wa Mbezi Beach

    Wengine wanasema unabii alikuwa nao toka akiwa mdogo (miaka 3-6), lakini hakugundua! Ikawa anapatwa na mambo ya kimiugiza! Wakati fulani akawa kipofu kwa mwaka mmoja. Ningepeda kujua historia yake kwa ujumla.
  2. A

    Nabii Flora wa Mbezi DSM ameumbuka Uchaguzi Arumeru!

    Hayo mambo yanachanganya saaaanaaa! Inabidi kusali na kuomba saaaana Roho Mtakatifu atuongoze na atufunulie kuhusu hawa manabii! Kwani kuelewa yupi ni wa ukweli imekuwa ni tatizo kubwa mno! Wamekuwa wengi mnooo..... Ee Mungu tupe mwanga wa kuwagundua hawa manabii, kwani wenyewe kwa wenyewe...
Back
Top Bottom