Ni kwa masikitiko makubwa naamua kuandika waraka huu kama kumbukumbu itakayobaki katika vina vya historia juu ya chuo changu nilichosoma miaka ya nyuma, na sasa kikielekea kusikojulikana. Ila yote namesababishwa na kiumbe huyu mwenye mikosi aitwaye Neto Ndelito.
Neto Ndelito alisoma chuoni hapo...
ni kweli ajali imetokea ila sii mbaya kama unavyoitaja
ajali imetokea sehemu inaitwa maili sita na gari tajwa hapo juu limeingia mtaroni ila hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha
gari tuu ndilo limeumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.