Usinishawishi nijione mtabiri, kabla hujaandika au sijafungua jamii forum nilikuwa nahisi kutakuwa na watu wenye kuyasema kama haya uliyoyasema, ila nikahisi wataosema hivi aidha ni mashoga wenyewe au mabasha katika hali ya kuwa-criticize wakemeaji.
Issue ya ajira watanzania wengi ni wavivu...
Mbona sisi jumamosi hatufanyi kazi yoyote ikiwemo hata biashara hamtusemi?
Na wengine hawafanyi biashara zao jumapili mko kimya?
Mimi naona heri hao wanafunga kwa muda si kwa siku nzima
Mbona sisi jumamosi hatufanyi kazi yoyote ikiwemo hata biashara hamtusemi?
Na wengine hawafanyi biashara zao jumapili mko kimya?
Mimi naona heri hao wanafunga kwa muda si kwa siku nzima
Mbona sisi jumamosi hatufanyi kazi yoyote ikiwemo hata biashara hamtusemi?
Na wengine hawafanyi biashara zao jumapili mko kimya?
Mimi naona heri hao wanafunga kwa muda si kwa siku nzima
Mwelevu kwanini umpeleke shule ya ambali ambayo tena wakati unampeleka mtoto wako na taratibu uliambiwa?
Mwelevu usiejitambuwa kuwa wewe ni mjinga labda nikusaidie kitu kimoja tu ili mwanao asiamke muda huo ambao wewe unaona haufai
1. Mpeleke mwenyewe shule kwa usafiri wako au mkodi hata...
Heri uvuje damu wakati wa mazoezi ili uje kutoka jasho kidogo wakati wa vita. .....ukipenda iwe kama uanvyotaka wewe au ukimuonea huruma chalii wako kuna uwezekano mkubwa wa kuja kujuta baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.