Recent content by ACHIKOYO

  1. ACHIKOYO

    River United FC ya sasa ni Bora kuliko ya mwaka Juzi hivyo natangaza rasmi Kuishabikia

    Hivi kama Yanga ilifungwa na Simba goals 2 Kwa sifuri, Rivers ingecheza na Simba si ingefungwa 7??
  2. ACHIKOYO

    Ezekiel Kamwaga: Taratibu tatizo la Ushoga linakuzwa sana japo lipo mbali sana kati ya matatizo yanayotukabili

    Usinishawishi nijione mtabiri, kabla hujaandika au sijafungua jamii forum nilikuwa nahisi kutakuwa na watu wenye kuyasema kama haya uliyoyasema, ila nikahisi wataosema hivi aidha ni mashoga wenyewe au mabasha katika hali ya kuwa-criticize wakemeaji. Issue ya ajira watanzania wengi ni wavivu...
  3. ACHIKOYO

    Kinachomfanya kocha Nabi apate mafanikio kwenye soka la bongo ni kusimamia na kuheshimu taaluma yake

    Ninachijua mimi Simba (klabu Bora) Afrika mashariki ilisababushwa kufukuzwa kocha Nabi sehemu fulani kabla ya kuja Utopo.
  4. ACHIKOYO

    Hali ngumu kwa Mayele ila ngumu zaidi kwa Inonga

    Hivi mpenda simba gani utamfanisha na Manara (Yanga) Kwa matusi,. Mimi ni yanga lakini nilichukia ujio wa Manara Yanga Kwa sababu ya matusi yake tu.
  5. ACHIKOYO

    Nimestaajabishwa na kufungwa kwa restaurants za Chief Asili & Mwambao Jijini Dodoma

    Ukiuliza hivyo maana yake wasabato na madhebu mengine itakuwa unaona wana haki ya kutofanya biashara kipindi cha ibada zao isipokuwa waislam,
  6. ACHIKOYO

    Nimestaajabishwa na kufungwa kwa restaurants za Chief Asili & Mwambao Jijini Dodoma

    Mbona sisi jumamosi hatufanyi kazi yoyote ikiwemo hata biashara hamtusemi? Na wengine hawafanyi biashara zao jumapili mko kimya? Mimi naona heri hao wanafunga kwa muda si kwa siku nzima
  7. ACHIKOYO

    Nimestaajabishwa na kufungwa kwa restaurants za Chief Asili & Mwambao Jijini Dodoma

    Mbona sisi jumamosi hatufanyi kazi yoyote ikiwemo hata biashara hamtusemi? Na wengine hawafanyi biashara zao jumapili mko kimya? Mimi naona heri hao wanafunga kwa muda si kwa siku nzima
  8. ACHIKOYO

    Nimestaajabishwa na kufungwa kwa restaurants za Chief Asili & Mwambao Jijini Dodoma

    Mbona sisi jumamosi hatufanyi kazi yoyote ikiwemo hata biashara hamtusemi? Na wengine hawafanyi biashara zao jumapili mko kimya? Mimi naona heri hao wanafunga kwa muda si kwa siku nzima
  9. ACHIKOYO

    Serikali ingilieni kati, huu mfumo wa elimu utasababisha watoto waanze kuichukia shule

    Mwelevu kwanini umpeleke shule ya ambali ambayo tena wakati unampeleka mtoto wako na taratibu uliambiwa? Mwelevu usiejitambuwa kuwa wewe ni mjinga labda nikusaidie kitu kimoja tu ili mwanao asiamke muda huo ambao wewe unaona haufai 1. Mpeleke mwenyewe shule kwa usafiri wako au mkodi hata...
  10. ACHIKOYO

    Serikali ingilieni kati, huu mfumo wa elimu utasababisha watoto waanze kuichukia shule

    Heri uvuje damu wakati wa mazoezi ili uje kutoka jasho kidogo wakati wa vita. .....ukipenda iwe kama uanvyotaka wewe au ukimuonea huruma chalii wako kuna uwezekano mkubwa wa kuja kujuta baadae
  11. ACHIKOYO

    Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

    Nilipokea Kwa kuanza kumfikiria Musiba ataishi maisha gani Kwa kibri ambacho alikuwa nacho Kwa kufikiria kuwa mbabe hata kufa.
  12. ACHIKOYO

    Simba tukubali yanga hii inatisha

    Leo makubaliano yetu leo na Mkwasa ilikuwa 5, bila sasa sujui tumekosea wapi.
  13. ACHIKOYO

    Je, Kinana ni mzalendo?

    Akikujibu ni-tag
Back
Top Bottom