Recent content by Achielogist

  1. A

    TANZIA Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Straight Talk Africa Shaka Ssali afaraiki dunia

    Daaah jembe limetutoka jmn Mungu ampe pumziko la milele
  2. A

    Jeshi la Iran kujenga kibabe ukuta mkubwa wenye urefu kilometa 5,800 kuzunguka nchi nzima kwa lengo la kuimalisha ulinzi na usalama wake

    Mavaa Kobazi akili hakuna yaani yatumie miaka nenda rudi na gharama kibao kujenga ukuta ambao unabomolewa kwa robo siku upumbavu kabisa
  3. A

    SAMIDRC Mission terminated

    Kagame kawaburuza wote huko wamekimbia
  4. A

    Uganda yapeleka askari mji mkuu wa juba South Sudan kunusuru mkataba wa amani

    Hapa ndo nimejua kwanini Uganda alitangaza kuwa ana mafuta mengi
  5. A

    Ibrahim Traore anatoa wapi fedha za kufanya maendeleo makubwa hivi Burkina Fasso?

    Huku kazi ni kulindana na kuteyeana ili mfumo husitoke madarakani upuuzi mtupu watu wamaliza rasilimali za nchi na watu masikini wanabaki kushangaa tu na kuteseka hongera kwa Mwamba kaweza
  6. A

    Ethiopia Yaanzisha mashambulizi ya Anga nchini Somalia kuwalenga Al Shabab

    Hivi hawa c walikuwa hawaelewani kisa Somali land ?
  7. A

    Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

    safi sana kuna watu wanasoma sana vitabu I like it good
  8. A

    Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

    mleta mada wenzako sikuhizi wanasoma wanatafakali mambo wanapambania issues hawako kwenye tamaduni zilizo wapumbaza kwamba hawatakiwi kusoma elimu Dunia sasa kachimbue vitabu ujue Mohamed alikuwa nani na alikuwa na ufahamu gani ndo utapata jibu la maswali yako
Back
Top Bottom