Huku kazi ni kulindana na kuteyeana ili mfumo husitoke madarakani upuuzi mtupu watu wamaliza rasilimali za nchi na watu masikini wanabaki kushangaa tu na kuteseka hongera kwa Mwamba kaweza
mleta mada wenzako sikuhizi wanasoma wanatafakali mambo wanapambania issues hawako kwenye tamaduni zilizo wapumbaza kwamba hawatakiwi kusoma elimu Dunia sasa kachimbue vitabu ujue Mohamed alikuwa nani na alikuwa na ufahamu gani ndo utapata jibu la maswali yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.