Recent content by ACHEBE

  1. A

    Nape Nnauye awabwaga CHADEMA Mahakamani

    Tumaini Makene ni aibu kuwa msemaji wetu na hujui kesi hii kuwa imeisha!!!! Basi jipe muda acha kukurupuka kwani tunakuheshimu sana wengine humu, nenda kamuulize mwanasheria /wakili aliyewekwa na chama kufungua kesi hii
  2. A

    Nape Nnauye awabwaga CHADEMA Mahakamani

    Zipo tetesi kuwa Nape kawabwaga Chadema mahakamani katika kesi waliyofungua wakimdai Tshs 3bill kwa madai kuwa kawachafulia jina kwa kusema wanatakatusha pesa na kupewa pesa kutoka nje!! Kesi ilikuwa inasikilizwa na majaji watatu. Nape katoa ushahidi wa kufa mtu, katika hukumu yake Jaji...
  3. A

    Hakika Chadema Hoi! Ona wanavyohaha!

    Tamko la kada mtiifu wa Chadema Ludovick
  4. A

    Hakika Chadema Hoi! Ona wanavyohaha!

    Ukweli sakata la kukamatwa walioitwa house boys na girls nyumbani kwa Lwakatare Wandugu, Siku chache zilizopita, kulikuwa na taarifa zilizoshtua kuhusu kukamatwa walioitwa house maids wa Lwakatare kimara nyumbani kwake. taarifa iliyotolewa haraka na kurugenzi ya habari ya chadema jamii...
  5. A

    UPINZANI nchini unapumulia mashine!

    Unalaana wewe ya baba na mama yako maana umewatukana kuwa wapumbavu kisa tu wametoa kura zai kwa CCM kwa miaka yote! Mabavicha bwana full viroba tu akili zao zote!
  6. A

    UPINZANI nchini unapumulia mashine!

    "Hakika wanaimarika" ... Kwa kushinda kata tatu kati ya 27 pamoja na kurusha chopa tatu, aaah wanakubalika sana. "Hakika wanakubalika" kwa kupata asilimia 11% uchaguzi mdogo wa Kalenga na asilimia 10% uchaguzi mdogo wa chalinze, aaaaahkh!! Kweli upinzani unakua sanaaaaaaa
  7. A

    UPINZANI nchini unapumulia mashine!

    Kwa muda sasa hata vyombo vya habari vimepuuza kabisa kureport taarifa za upinzani nchini ukiacha gazeti moja la Tanzania Daima ambalo ni rahisi kujua kwanini wamebaki peke yao! Moja ya sababu ni kukithiri kwa migogoro ndani ya vyama vya siasa ISIYOTAFUTIWA MAJAWABU KWA MUDA SAHIHI! Eg...
  8. A

    Nape apokelewa kishujaa SAUT Mwanza

    Hahahhaha! Mabavicha mmehangaika weeee mwisho yametimia niliwaambia hamuwezi zuia mafuriko kwa viganja!!! Rais wa serikali ya wanafunzi SAUT, Saimon Filbert Macheyeki kakabidhi kadi ya CDM kwa Nape na kupewa kadi ya kijani kadi ya CCM. Big Up Nape, kanyaga twende!
  9. A

    Tunaomba updates za Nape toka SAUT

    Hahahahahhahahhaha kila unachopanda ndicho utakachovuna
  10. A

    Tunaomba updates za Nape toka SAUT

    Hakika Nape anaeachezesha kwata CDM ni balaaa,maana hapa nipo Morogoro kuna mikutano mingine lakini macho na masikio ya maCDM yapo Saut anakonyolewa mtu leo bila maji wala sabuni....
  11. A

    CHADEMA wahaha usiku kucha kuzuia mafuriko ya Nape SAUT!

    Katika hali ya kushangaza sana CDM Taifa na viongozi wa CHADEMA SAUT wamehaha usiku kucha kujaribu kuzuia mafuriko yanayotarajiwa kuifurikisha Chadema leo SAUT kufuatia ziara ya siku mbili ya Nape Nnauye, katibu wa itikadi na uenezi wa CCM. " kwanza walileta pesa ili kuzuia vijana wasihudhurie...
  12. A

    Nyama ya ng'ombe alizogawa nape,zazua timbwili saut

    Dogo unahangaika sana! Una tweta kuliko mamba anayetaka kujifungua!! Toka single ya jana umeshindwa kulala, TULIA MNYOLEWE KELELE ZA NINI?!!!!!!!!
  13. A

    Waliofukuzwa CHADEMA SAUT, Kesho kukabidhiwa kadi na Nape Nnauye

    Sikuwahi kujua kama Nape anawasumbua kiasi hichi! We mtoto acha kupiga mayoe wacha watu waone wenyewe!
  14. A

    Hati ya Muungano: Viongozi wa upinzani wanapokuja na hoja nyepesi...

    Ujinga wako ni aibu kwa waalimu na shule yako. Acha ushabiki wa kijinga!
  15. A

    CCM epukeni kutumia misiba ya Watanzania kisiasa!

    We kenge subiri tulia mnyolewe, huwezi panda mahindi ukavuna mtama, ulichopanda ndicho utakacho vuna. Acha kuua watu aliyefariki KCMC ni baba mzazi wa Martha Mlata we unaua wengine kwa pressure yako ya kijinga tu! Na kwa taarifa yako mazishi ya Singida yako Ijumaa na angalia mpaka mkuu wa...
Back
Top Bottom