Recent content by Achanakia

  1. A

    Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

    Bila shaka elimu yako haikusaidii kujua unachosimamia, tunazungumzia katiba na sheria kuleta maendeleo. Umesema china haina katiba lakini ina maendeleo makubwa. Ndio nikakwambia usijiringanishe na China yenye teknolojia kubwa namna ile. Lakini pia kwa faida yako China licha ya kutokuwa na katiba...
  2. A

    Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

    Katika hili wewe ndio umeonyesha jinsi ulivyo tahira wa kiwango cha lami. Yaani unathubutuje kujilinganisha na China nchi yenye teknolojia kubwa wakati wewe hata toothpick tu unaagiza huko huko China, halafu unathubutu kutoa uharo wako kwa mdomo. Jitafakari.
  3. A

    Imani inayoongozwa na mapenzi au chuki hupofusha

    Kuna baadhi ya Watanzania wenzetu imani yao kwa viongozi wetu wa nchi inatawaliwa zaidi na mapenzi yao au chuki yao kuliko uhalisia. Mtu akishampenda kiongozi fulani kwasababu zake binafsi, basi kiongozi huyo hata akiwa anaboronga katika utendaji wake wa kazi, yeye ataona yuko sawa, hata akiwa...
  4. A

    CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

    The one you think he deserve to die he is alive and the one you wanted him to live he is no more alive. Pole sana
  5. A

    CCM kuwalegezea CHADEMA ili ionekane tuna misingi ya Demokrasia ni kukengeuka

    Jina zuri ninaloweza kukuita kwa kukutendea haki ni kwamba wewe ni mbwa.
  6. A

    TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

    Mkuu binafsi Gondwe namuona ni mtu smart and matured. Lakini pengine mamlaka ya uteuzi inamwelewa zaidi kuliko mimi.
  7. A

    Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

    Ndugu yangu inaumiza na inakera sana. Utawala uliopita ulijaa ghiliba sana katika kuendesha nchi. Walisema nchi yetu ni tajiri, na miradi hiyo tunaitekeleza kwa pesa zinazotokana na makusanyo ya mapato yetu ya ndani. Walienda mbali kwa kusema zamani haikuwezekana kwasababu pesa zilikuwa kwa...
  8. A

    Wanaharakati wapingaji wa kazi na wafuasi wakubwa wa Magufuli, kazi nyingine ya kupinga kazi zake hii hapa

    Nakumbuka Rais Mstaafu wa Kenya aliwahi kufanya ziara hapa Bongo na kuna barabara ikapewa jina lake. Sina hakika kama hilo jina linatumika tena kwenye hiyo barabara
  9. A

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Kwanza una matatizo mawili ya msingi. 1.Wewe ni mshamba, na kutokana na ushamba wako unaona kilichofanyika Ubungo ni kama muujiza na unadhani hakijawahi kufanyika mahali pengine duniani. Wakati ukweli ni kwamba kwa mji kama dar, kilichofanyika hakifanani na interchange katika miji na majiji ya...
  10. A

    Wanaosema Rais Samia mpaka 2030 wanajua maana ya demokrasia? Je, somo la Awamu ya Tano halikueleweka?

    Kinachosikitisha zaidi ni kama hakutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine. Labda kwa vile wanajua mgombea wa chama chao huwa anashindishwa tu hata kama kura hazitoshi.
  11. A

    Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

    Kaka usijisumbue juu ya hao mbumbumbu waimba mapambio. Kutokana na umbumbumbu wao Hayati kila alipokuwa akiwaambie Tanzania ni nchi tajiri na ataifanya kuwa donor country basi mbumbumbu walikuwa wakikenua meno na kuona maisha yao tayari yamebadilika kwa kauli hiyo. Eti tutawapelekea wazungu...
  12. A

    Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

    Kwako wewe,Lissu alikuwa mkwepa kodi au alikuwa na vyeti feki ambaye adhabu yake ni kumiminiwa risasi zisizokuwa na idadi kwa nia ya kumuua. Ben Saanane vyeti feki adhabu yake ni kumpoteza, Azori Gwanda mkwepa kodi adhabu yake kumpoteza, Mawazo vyeti feki adhabu yake ni kupigwa mashoka na...
  13. A

    Cheo ni dhamana, tuwe na busara

    Kuwa muungwana japo kidogo basi, alikuwa anateua viongozi anaofanana nao.
  14. A

    Nimeamini viongozi wengi waliishi na Magufuli siyo kwa dhati ya mioyo yao bali kwa unafiki

    Bahati mbaya sana wengi wenu hamjui legacy ina pande mbili, positive na negative. Kwahiyo kila mmoja wetu ana namna yake ya kumkumbuka Hayati iwe kwa wema au kwa ubaya wake.
Back
Top Bottom