Nimeamini viongozi wengi waliishi na Magufuli siyo kwa dhati ya mioyo yao bali kwa unafiki

JPM ameacha legacy kiasi kwamba hakauki midomoni na akilini mwa watu na wewe ukiwa mmoja wao maana mwenyewe humalizi 1hr bila kumkumbuka, ila sijui kama ulishawahi kujiuliza kuwa wewe utaacha nini
JPM kaacha maumivu ambayo hayatibiki huko aliko nadhani anataabika tuu
 
JPM ameacha legacy kiasi kwamba hakauki midomoni na akilini mwa watu na wewe ukiwa mmoja wao maana mwenyewe humalizi 1hr bila kumkumbuka, ila sijui kama ulishawahi kujiuliza kuwa wewe utaacha nini
Hata wewe ukiwa rais halafu ukaharisha hadharani kila siku na kufa ghafla watu watazungumza sana tu.

Ndiyo nature ya kazi za kuuza sura.
 
Hata wewe ukiwa rais halafu ukaharisha hadharani kila siku na kufa ghafla watu watazungumza sana tu.

Ndiyo nature ya kazi za kuuza sura.

Kila mtu ana vile anavyopokea sio wote wanakuamini na kukukubali na sio wote wanaweza kukupinga pinga
 
Kila mtu ana vile anavyopokea sio wote wanakuamini na kukukubali na sio wote wanaweza kukupinga pinga
Sawa, lakini hilo halimaanishi rais awaambie raia wabaki na mavi yao majumbani mwao, wasichafue vyoo vya serikali.

Huyu jamaa aliudhalilisha sana urais wa Tanzania.

Waacheni watu waseme hata miaka 100.

Nyerere alijitahidi kutenda na kusema kwa heshima, na mpaka leo watu wanamsema.

Itakuwa huyu gubegube?

Ukikubali kuwa rais umekubali kusemwa kwa mazuri na mabaya miaka na miaka.

Kama hutaki kusemwa una chill na kukataa uongozi kama Kiranga.
 
Kwa mtu aliyekwisha kufa na kuzikwa, hakika bado amezitawala fikra zenu!

Manake mmeshindwa kabisa kumzika ndani ya hizo fikra zenu duni mlizonazo.

Kila kona Magufuli ndo gumzo!
Nikawaida katika ulimwengu huu kwa mtu aliekufa na kuzikwa fikrazake kugonga vichwa va watu tena kwa kurithiyana vizazi hadi vizazi, hiyo tena haichagui kama huyo mtu kafanya mabaya au mazuri mfano akina Hitler, Farao, Idi Amin, Mama Teresa wa Calcutta, Mandela, Kwame nk.
 
Sawa, lakini hilo halimaanishi rais awaambie raia wabaki na mavi yao majumbani mwao, wasichafue vyoo vya serikali.

Huyu jamaa aliudhalilisha sana urais wa Tanzania.

Waacheni watu waseme hata miaka 100.

Nyerere alijitahidi kutenda na kusema kwa heshima, na mpaka leo watu wanamsema.

Itakuwa huyu gubegube?

Ukikubali kuwa rais umekubali kusemwa kwa mazuri na mabaya miaka na miaka.

Kama hutaki kusemwa una chill na kukataa uongozi kama Kiranga.

Kiranga halafu ujue hao watu hawajabaki nayo nyumbani🤣🤣🤣🤣 kila siku wanalipia huduma ya vyoo kama ilivyopangwa

Hata sisi wa kigamboni hatujawahi piga mbizi, tunalipa ile miambili tuliyokua tunailalamikia kwamba hatutaweza kuilipa

Tofauti ya JPM ni kwamba hukuwaga na majibu mawali, wala hukuwa na majibu ya kutumbeleza kinafki. Yeye kwake NDIO HAPANA ilimaanisha NDIO, na HAPANA ilimaanisha HAPANA
 
Nikawaida katika ulimwengu huu kwa mtu aliekufa na kuzikwa fikrazake kugonga vichwa va watu tena kwa kurithiyana vizazi hadi vizazi, hiyo tena haichagui kama huyo mtu kafanya mabaya au mazuri mfano akina Hitler, Farao, Idi Amin, Mama Teresa wa Calcutta, Mandela, Kwame nk.
Fine.

Sina tatizo na hilo.

Ila sipendi huu unafiki wa hao nyumbu.

Wengine wakimzungumzia Magufuli, wanaambiwa kwamba hata waseme nini, hatoweza kurudi maana keshakufa, kazikwa, na keshaanza kuoza na hatorudi tena.

Kwani nani asiyelijua hilo?

Absolutely churlish and disgusting.

Sasa kwa nini na wao nyumbu wakimzungumzia wasiambiwe kwamba amewajaa kwenye fikra zao licha ya kwamba wanamchukia?

Ukweli ni kwamba wako fixated naye! Na kwa mtu wanayemchukia kama wanavyodai, hakika wanaendelea kusaidia kuihifadhi kumbukumbu yake.
 
Kiranga halafu ujue hao watu hawajabaki nayo nyumbani kila siku wanalipia huduma ya vyoo kama ilivyopangwa

Hata sisi wa kigamboni hatujawahi piga mbizi, tunalipa ile miambili tuliyokua tunailalamikia kwamba hatutaweza kuilipa

Tofauti ya JPM ni kwamba hukuwaga na majibu mawali, wala hukuwa na majibu ya kutumbeleza kinafki. Yeye kwake NDIO HAPANA ilimaanisha NDIO, na HAPANA ilimaanisha HAPANA
Bado haibadilishi ukweli kwamba alikuwa na maneno ya kunya.

Yani si kitafsida tu, aliwaambia watu wabaki na mavi yao nyumbani, aliwasimanga wananchi kwa maneno ya kunya.

Na wakimsema hata miaka 100 ni sawa tu.

Kuna mfalme mmoja wa Warumi, kichaa, alikuwa anaitwa Caligula.

Alifariki 41 AD. Yaani miaka takriban kama 10 hivi baada ya kifo cha Yesu kwa mujibu wa historia.

Lakini mpaka leo miaka 2,000 imepita, watu wanazungumza vituko vyake bado.

Itakuwa huyo Magufuli Caligula wetu kafariki juzi tu hapo?

Sitashangaa akiwa gumzo miaka na miaka.
 
Fine.

Sina tatizo na hilo.

Ila sipendi huu unafiki wa hao nyumbu.

Wengine wakimzungumzia Magufuli, wanaambiwa kwamba hata waseme nini, hatoweza kurudi maana keshakufa, kazikwa, na keshaanza kuoza na hatorudi tena.

Kwani nani asiyelijua hilo?

Absolutely churlish and disgusting.

Sasa kwa nini na wao nyumbu wakimzungumzia wasiambiwe kwamba amewajaa kwenye fikra zao licha ya kwamba wanamchukia?

Ukweli ni kwamba wako fixated naye! Na kwa mtu wanayemchukia kama wanavyodai, hakika wanaendelea kusaidia kuihifadhi kumbukumbu yake.
Mtu akigombea urais kashakubali kutajwatajwa maisha yake yote nq mpaka baada ya naisha yake.

Kama mtu hataki kitajwatajwa asigombee urais.

Magufuli kutajwa ni fair and square.

Yani nafikiri hata yeye mwenyewe jinsi alivyopenda kuvamia mic mpaka kanisani angeweza kujua kafa halafu watu hawamtajitaji angesikitika sana.

Watu wanawataja Cyrus The Great na Caligula mpaka leo mbona?
 
mama D, wanaoacha legacy wanajulikana tu hata kwa kile wanachoandika. Huyu kwa mtiririko wa mawazo yake tu unajua kabisa kwamba hapa hakuna kitu.
Akiacha legacy unitag, please!
Bahati mbaya sana wengi wenu hamjui legacy ina pande mbili, positive na negative. Kwahiyo kila mmoja wetu ana namna yake ya kumkumbuka Hayati iwe kwa wema au kwa ubaya wake.
 
Mtu akigombea urais kashakubali kutajwatajwa maisha yake yote nq mpaka baada ya naisha yake.

Kama mtu hataki kitajwatajwa asigombee urais.

Magufuli kutajwa ni fair and square.

Yani nafikiri hata yeye mwenyewe jinsi alivyopenda kuvamia mic mpaka kanisani angeweza kujua kafa halafu watu hawamtajitaji angesikitika sana.

Watu wanawataja Cyrus The Great na Caligula mpaka leo mbona?
Sina kabisa tatizo na hilo.

But I have a problem with the psychological predisposition of dichotomous thinking that some people exhibit.

Right now you can’t talk about Samia Hassan without being attacked and accused that you dislike her or hate her because John Magufuli is dead and buried.

You can’t have any fruitful discussion about anything concerning the government without these nincompoops bringing up Magufuli’s name, even when it’s not apropos.

Samia Hassan is now the president. She is fair game for criticism and everything else that comes along with being in that limelight.

She can be talked about without being attached to Magufuli. She is her own woman. A grown ass woman, at that.

She is not above criticism nor is she below praise.

A bunch of people here operate within the confines of dichotomous thinking.

They see the need to bring up Magufuli’s name every time Samia is mentioned or talked about.

Well, I’m not here for it!

NB: Some are even prodding the fault line of tribalism. Let them do it…they may get their wish…
 
Bado haibadilishi ukweli kwamba alikuwa na maneno ya kunya.

Yani si kitafsida tu, aliwaambia watu wabaki na mavi yao nyumbani, aliwasimanga wananchi kwa maneno ya kunya.

Na wakimsema hata miaka 100 ni sawa tu.

Kuna mfalme mmoja wa Warumi, kichaa, alikuwa anaitwa Caligula.

Alifariki 41 AD. Yaani miaka takriban kama 10 hivi baada ya kifo cha Yesu kwa mujibu wa historia.

Lakini mpaka leo miaka 2,000 imepita, watu wanazungumza vituko vyake bado.

Itakuwa huyo Magufuli Caligula wetu kafariki juzi tu hapo?

Sitashangaa akiwa gumzo miaka na miaka.

Hayo ni mawazo yako na ni sawa kuwaza hivyo sababu sio mara zote watu hukubaliana

Ila ujue tuu 5% ya watanzania ndio wanaamini kwenye hayo uliyoandika. 10% ni wasikilizaji na 85% wanaamini JPM amekua kiongozi bora kuwahi kutokea
 
Haya yeye asiyebembeleza kavuna nini? Jiwe was the curse to our motherland
Each and every thing you know about his legacy wether its good or bad. The chapter is closed and won't be erased regardless there are minorites dislike him.
 
Back
Top Bottom