Recent content by Achaacha

  1. Achaacha

    Nimemuona Balozi Seif Idd Makamu wa Rais Znz,Kisiwandui mshaurini apumzike

    Habari sana inatakiwa upime maneno kabla ya kunena
  2. Achaacha

    Toyota ractis kama unauza sema au toa ushauri wa ubora

    Mkuu nahitaji hilo gari Ractis wapi tuonane...?
  3. Achaacha

    Wewe ni mkali kwenye mchezo gani?

    Mm kulenga shabaha
  4. Achaacha

    Msaada: Kwanini paka wengi wanapenda sana samaki na wanachukia sana nyama ya nguruwe?

    Mkuu kila kitu kimewekwa wazi na aliyetuumba ,kwahivyo awe mtu ama mnyama au mdudu ,amewekewa utaratibu wa kuishi hapa ulimwenguni
  5. Achaacha

    Msaada: Kwanini paka wengi wanapenda sana samaki na wanachukia sana nyama ya nguruwe?

    Halipeni tu ila kwake ni halali kula kama ilivyo kwako wewe kuna vitu huvipendi hakini ni halali kwako kula
  6. Achaacha

    Msaada: Kwanini paka wengi wanapenda sana samaki na wanachukia sana nyama ya nguruwe?

    Wala haina maana hiyo ila paka kajua ya kuwa kula haramu kwake ni maasi Ova...!
  7. Achaacha

    Msaada: Kwanini paka wengi wanapenda sana samaki na wanachukia sana nyama ya nguruwe?

    Kama paka anajua kuwa huyo mdudu ni haramu iweje mtu anakula...? Dah..uroho ni ugonjwa mbaya sana
  8. Achaacha

    Mtatiro: Lipumba alisaliti chama tangu zamani, alimsaidia Kikwete uchaguzi wa 2010

    Ndo maana ilikuwa aonyeshi kuguswa kila akikosa urais
  9. Achaacha

    Waumini wajidunga visu mashabiki katika wiki ya kususia ulaji wa nyama

    Sisi hatuna ujinga kama huo..imani gani ya kujitesa namna hiyo
  10. Achaacha

    Polisi wa Usalama barabarani Dar wakusanya Tsh. 767,790,000 ndani ya siku 10

    Hujitambui...hayo ni makosa ya kulazimisha
  11. Achaacha

    Polisi wa Usalama barabarani Dar wakusanya Tsh. 767,790,000 ndani ya siku 10

    Hata mimi nimeonewa wiki iliyopita... Namlaani sana trafik yule
Back
Top Bottom