Recent content by Acehood

  1. Acehood

    Nauza Wifi Bulb Camera

    Bei ya jumla unauzaje mkuu?
  2. Acehood

    Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

    Walimu tumewekwa matopeni tena dah
  3. Acehood

    Naomba connection ya ajira Canada

    One man down. Kijan kaleft group
  4. Acehood

    Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

    Habari mkuu. Naomba nisave 20k inisaidie kusogeza Christmas.
  5. Acehood

    Je wajua? China highway 110 traffic jam, ndiyo foleni kubwa kuwahi kutokea duniani.

    Ni kweli mkuu akili zetu bado zipo kwenye ongoing process ya kudevelop. Tuna Safari ndefu sana
  6. Acehood

    Je wajua? China highway 110 traffic jam, ndiyo foleni kubwa kuwahi kutokea duniani.

    Dar es salaam tu barabara zimetushinda jiji ambalo linahitaji barabara pana zaidi
  7. Acehood

    Je wajua? China highway 110 traffic jam, ndiyo foleni kubwa kuwahi kutokea duniani.

    Barabara kubwa sana lakini bado inatapika
  8. Acehood

    Je wajua? China highway 110 traffic jam, ndiyo foleni kubwa kuwahi kutokea duniani.

    Wauzaji wa maji na vyakula walipata sana faida. Maji kipindi ilikuwa 1 yuan kwa chupa moja, lakini kwenye hiyo foleni madereva waliuziwa 15 yuan kwa chupa moja
  9. Acehood

    Je wajua? China highway 110 traffic jam, ndiyo foleni kubwa kuwahi kutokea duniani.

    Barabara pana sana lakini bado hazipunguzi foleni kwa asilimia kubwa.
  10. Acehood

    Je wajua? China highway 110 traffic jam, ndiyo foleni kubwa kuwahi kutokea duniani.

    China highway 110 traffic jam, ni foleni kubwa ya magari iliyotokea kuanzia 12.08.2010 na kudumu kwa zaidi ya siku 10 huko China. Madereva walikuwa wanaweza kuendesha gari zao kilomita 1 kwa siku (1Km per day). Inasemekana baadhi ya madereva walidumu kwenye foleni hiyo kwa siku 5. Moja ya...
  11. Acehood

    Must see Movies

    It Make sense. Huenda ikawa sababu.
  12. Acehood

    Must see Movies

    Sijui kwanini waliamua kuweka bendera ya Tanzania kwenye hii movie ya John Cena "Freelance*
  13. Acehood

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Habari mkuu. Naomba nitumie file hii nipakue A PIECE OF YOUR MIND
Back
Top Bottom