Recent content by Acehood

  1. Acehood

    Kibu Denis ametia aibu kushindwa kujengea wazazi wake

    "If ignorance is a sin, then stupidity must be the greatest sin, for in stupidity you already have the knowledge but still choose to ignore it." “Kama ujinga ni dhambi, basi upumbavu lazima uwe dhambi kubwa zaidi, kwa sababu katika upumbavu tayari una maarifa lakini bado unachagua kuyapuuza.”
  2. Acehood

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Walking on thin ice ni nzuri pia.
  3. Acehood

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Ms. Incognito imeanza vizuri sana, episodes 5 mpaka sahz na episode ya 6 inatoka Leo.
  4. Acehood

    Msaada wa link ya Patch 2025/26 ya Pes 2017 yenyewe ipo updated. (Isak-liverpool, Donarruma - man city)

    Naomba msaada wa website gani naweza kupata hii patch. Nimeitafuta sana lakini napata ambazo haziko updated.
  5. Acehood

    Niambie wanyama watatu unaowapenda Sana huchoki kuwaona

    1. Cameltoe (ngamia) 2. Coochie (kuku aina ya kuchi) 3. Pussy (paka)
  6. Acehood

    KERO Mifumo ya kuomba ajira kwa njia ya mtandao magereza polisi na zimamoto ni tatizo kubwa sana

    Asante sana mkuu. Labda nami nijaribu kesho Leo tanesco wametukatili umeme mkoa wa Mbeya
  7. Acehood

    KERO Mifumo ya kuomba ajira kwa njia ya mtandao magereza polisi na zimamoto ni tatizo kubwa sana

    Wakuu Kuna aliyeweza kufanya confirmation ya ya details?
  8. Acehood

    Wauzaji wa jezi

    Asante sana mkuu 🙏.
  9. Acehood

    Wauzaji wa jezi

    Asante sana mkuu 🙏
  10. Acehood

    Chimbo la Jezi za Jumla za Ulaya, Delivery Popote Ulipo

    Nazipata hizi kwa rejareja?
  11. Acehood

    Wauzaji wa jezi

    Samahani wakuu yeyote mwenye jezi hizi za Manchester united au mojawapo naomba nijue nizipate.
  12. Acehood

    Ushauri kuhusu kupandikiza mmea wa chainizi (Chinese cabbage)

    Asante sana mkuu. Ni kwa ajili ya biashara napeleka mashuleni. Nadhani mche mmoja utakuwa vizuri kama ulivyosema
  13. Acehood

    Ushauri kuhusu kupandikiza mmea wa chainizi (Chinese cabbage)

    Asante sana mkuu. Nadhani nitumie njia hii
Back
Top Bottom