Recent content by academiazSoft 0674050747

  1. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Ufahamu mfumo wa Kidigitali AcademiazSoft

    📚 AcademiazSoft - Mfumo Bora wa Usimamizi wa Shule📊 AcademiazSoft ni mfumo wa kisasa unaorahisisha shughuli zote muhimu za shule kwa ufanisi mkubwa. Imebuniwa kwa teknolojia ya hali ya juu ili kusaidia walimu, wanafunzi, wazazi, na uongozi wa shule kwa njia ifuatayo: ✅ Usimamizi wa Taarifa za...
  2. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania ACADEMIAZSOFT: mfumo bora wa Uendeshaji wa Shule katika namna bora na ya kisasa

    📚 AcademiazSoft - Mfumo Bora wa Usimamizi wa Shule 📊 AcademiazSoft ni mfumo wa kisasa unaorahisisha shughuli zote muhimu za shule kwa ufanisi mkubwa. Imebuniwa kwa teknolojia ya hali ya juu ili kusaidia walimu, wanafunzi, wazazi, na uongozi wa shule kwa njia ifuatayo: ✅ Usimamizi wa Taarifa za...
  3. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Ufahamu mfumo wa Kidigitali AcademiazSoft

    Unatafuta mfumo bora wa kidigitali wa kusimamia shule yako? AcademiazSoft ni jibu sahihi kwa shule za kisasa zinazotaka uwazi, ufanisi na taarifa sahihi kwa wakati. Tunatoa: ✅ Usimamizi wa wanafunzi (registration, attendance, discipline) ✅ Taarifa za kitaaluma – Matokeo, Report Cards...
  4. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania ACADEMIAZSOFT: mfumo bora wa Uendeshaji wa Shule katika namna bora na ya kisasa

    AcademiazSoft ni mfumo wa kisasa wa usimamizi wa shule uliobuniwa mahsusi kwa mazingira ya shule za Tanzania. Lengo letu ni kurahisisha kazi za kiutawala na kitaaluma kwa kutumia teknolojia, ili walimu, wakuu wa shule na wasimamizi waweze kuokoa muda na kuongeza ufanisi. Kwa kutumia...
  5. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa

    Huyu dada inaonekana kama ana maadui wengi sasa sijui ni fitna au wivu tu juu yake au ni nini? Maana nimesikia leo kioind wasafi radio akina zembwela na kitenge wanamkalia kooni haswa mpaka nikajiuliza ,shida ni hii hii michango au labda kuna mengine?
  6. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Jengo ambalo halikujengwa kuwa Godauni lisibebeshwe mizigo huko GHOROFANI

    Inasikitisha sana. Basi hili kwangu leo ndio nimelisikia na kuliona jipya kabisaaa
  7. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Jengo ambalo halikujengwa kuwa Godauni lisibebeshwe mizigo huko GHOROFANI

    Taarifa ya Zembwela alioiongea leo redion imenishtua sana. Anasema zile nyumba za kariakoo nying zimechimbwa sana chini kwa chini toka upande mmoja had wa pili. Anasema hata ile bara bara ya mwendokas eti iko juu ya mahandaki muda wowote kinaweza tokea chochote.. Anasema et huu ni uhuni ambao...
  8. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Huu ndio muonekano wa behewa la Royal katika treni ya mchongoko ya SGR

    Sawa zinaweza kuwa hazina maana ila hapo kwenye 150k, ndio u maana unapoanzia. Kama suala ninkwemda haraka bas si bora kusimama tu watuchaji 5k maana kufika ni kule kule tu
  9. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Ndugu yangu anaongea usiku na wakati mwingine anainuka na kufanya vitendo, naomba ufafanuzi wa hili jambo

    Kuna mwingine huyo yeye anaamka anawasha gesi anakaanga mayai anakula anarud kulala. Hata siku moja hali kiporo kilichobaki usiku kwenye hizo ndoto zake..yeye anagonga mayai tu. Anaweka na chumvi akimaliza anazima gesi akula anarud kumbonji
  10. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Tanzania Aliyebuni logo ya Toyota apewe maua yake kama hauna "A" tatu hauwezi kuelewa logo hiyo ina jina la kampuni

    Anhaa.. maana nimetafuta mpaka google translate na google dictionary imekuja blank
  11. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wadada wanaorusha video zao mitandaoni, huwa wana ndugu na wazazi kweli?

    You are right. Inashangaza sanaa
  12. academiazSoft 0674050747

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wadada wanaorusha video zao mitandaoni, huwa wana ndugu na wazazi kweli?

    Ni kwel usemacho. Akiyakataa mbona mzazi unajua mapema tu hapa kuna mtu au hakuna. Lakin hata atleast atakua ana awareness kuwa hiz si njia wazaz wangu wanapenda so bado italeta tofaut na yule asiyefunzwa kabisaa
Back
Top Bottom