zanzibar tunategemea nyanya kutoka mikoani na ya kenya huku hakuna mashamba makubwa na ata ukifika msimu wa huku hadumu sana ndo maana nikataka nitafute uzoefu na ushauri humu maana ao wanao tuuzia wanatoa mikoan na dar iyo ya kenya
Habari zenu wana jamii forums mimi ni kijana kutoka zanzibar naomba ushauri wenu juu ya biashara ya nyanya kutoa daa kuleta zanzibar na conection maana zanzibar tunapigwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.