Hili ni jukwaa la michezo huo ujinga wenu pelekeni huko sia
Huyo ni bwana JARIBU TENA Bila shaka.
Na huyo Magoli amesahau hata mashabiki.wapo wenye tatizo hilo...mojawapo ni GENTAMYCINE
TANZIA:
Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias, anayefahamika zaidi kwa jina la MC Pilipili, ameaga dunia leo, Novemba 16, 2025.
Kwa mujibu wa taarifa tulizopokea, MC Pilipili alikuwa safarini kuelekea jijini Dodoma kwa ajili ya shughuli yake ya ushereheshaji...
Yaani wewe huwezi kuanzisha vurugu za uhalifu kama zile alafu ukachagua madhara, cha msingi ni kuzuia kwanza hizo vurugu, ndio hoja yangu
Ilikuwa ni nini?
Wahenga wanasemaga vita haina macho, panapotokea vita ama vurugu basi usichague madhara, kikubwa ni kuwaasa watu waepuke kuingia kwenye machafuko maana madhara yake huwa ni makubwa mno, lakini pesa wanazokwiba mafisadi na kwenda kuficha nje na huo uharibu nadhani ni chamtoto, tuusiane amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.