Recent content by Abuu Kauthar

  1. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    Si umeambiwa wawili? Mtala ambaye yupo kwenye eda ya talaka anakaa eda na anahesabiwa mjane ila kama alishamaliza eda na hakurejewa anakuwa sio mjane
  2. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Kocha Gaborone; Yanga ndio yenye presha zaidi

    Timu ile makolo wako si walicheza nao last season je walishinda?
  3. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Ukristo Hauna Mfumo wa Social Guidance Kama Uislamu na Uyahudi?”

    Zinaa maana yake nini kwa mujibu wa vitabu vyenu wakristo?
  4. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Ukristo Hauna Mfumo wa Social Guidance Kama Uislamu na Uyahudi?”

    Ukristo ni dini aliyotunga Paulo, ukitaka kujua ni watu wakutunga, waulize ZINAA maana yake nini?
  5. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Car4Sale WHAT? NISSAN X-TRAIL YA DIESEL IKO SOKONI

    Chuma imesimama, vipi ulaji wa mafuta?
  6. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Katambi ana mamlaka gani kusamehe wasanii? Waliotenda makosa hayo na kufungwa jela watasamehewa na nani?

    Si kama Padri tu anavyomsamehe muumini aliyemkosea Mungu, kuna ubaya gani kwani
  7. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FVS imekuja kwaajili ya Simba, walibebwa sana na makosa ya kibinadamu

    Kefa Kayombo, Tatu Malogo and Co. Hawa wote hawana sifa za kuchezesha mechi za ligi na waliachwa kwa sababu ya Simba sasa wataipata Pata mwaka huu
  8. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FVS imekuja kwaajili ya Simba, walibebwa sana na makosa ya kibinadamu

    Pamoja na FVS
  9. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FVS imekuja kwaajili ya Simba, walibebwa sana na makosa ya kibinadamu

    Huyo magori anaiandikia barua Bodi ya Ligi yeye kama nani pale Simba? Maana hana cheo chochote zaidi ya kuwa shabiki tu.
  10. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga 4-1 Coastal Union | Ligi Kuu NBC | KMC Complex | Yanga yaendeleza vichapo

    Ile rafu unaikataa?
  11. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Wito kwa TFF: Je, si wakati sasa wa kuleta mfumo wa "Financial Fair Play" (FFP) kwenye Ligi Kuu ya Tanzania?

    Tumeuza wachezaji wawili tu bil 4 wao walikusanya Lundo la wachezaji hata mil 5 haijafika. Kiufupi makolo wanatapatapaaaa
  12. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Wito kwa TFF: Je, si wakati sasa wa kuleta mfumo wa "Financial Fair Play" (FFP) kwenye Ligi Kuu ya Tanzania?

    Kutoka GSM anaharibu ligi hadi financial fair play na badooo
  13. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Kwenye uislam hakuna upuuzi kama huo, nyerere ndiye aliyeiangamiza hii nchi hadi leo bado tunatawaliwa kama nyapala bado mnadiriki kumvika Joho la damu
  14. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Kwenu Madalali wa magari kuna mdogo wangu ana 15m cash hapa anataka gari yake ya kwanza ili apate siti kwenye meza ya wakubwa zake akina sie

    Corolla Axio hii naitupa 12.5m chapu haina kipengele ni mpyaa imetunzwa
  15. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 0-0 Mogadishu CC | Kigali Pele Stadium | CECAFA Kagame Cup | 25.7.2026

    Nguvu kulukundu Kama Kibu Denga
Back
Top Bottom