Recent content by Abuu Kauthar

  1. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Wito kwa TFF: Je, si wakati sasa wa kuleta mfumo wa "Financial Fair Play" (FFP) kwenye Ligi Kuu ya Tanzania?

    Tumeuza wachezaji wawili tu bil 4 wao walikusanya Lundo la wachezaji hata mil 5 haijafika. Kiufupi makolo wanatapatapaaaa
  2. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Wito kwa TFF: Je, si wakati sasa wa kuleta mfumo wa "Financial Fair Play" (FFP) kwenye Ligi Kuu ya Tanzania?

    Kutoka GSM anaharibu ligi hadi financial fair play na badooo
  3. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Kwenye uislam hakuna upuuzi kama huo, nyerere ndiye aliyeiangamiza hii nchi hadi leo bado tunatawaliwa kama nyapala bado mnadiriki kumvika Joho la damu
  4. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Kwenu Madalali wa magari kuna mdogo wangu ana 15m cash hapa anataka gari yake ya kwanza ili apate siti kwenye meza ya wakubwa zake akina sie

    Corolla Axio hii naitupa 12.5m chapu haina kipengele ni mpyaa imetunzwa
  5. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 0-0 Mogadishu CC | Kigali Pele Stadium | CECAFA Kagame Cup | 25.7.2026

    Nguvu kulukundu Kama Kibu Denga
  6. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Kuwa tu muwazi, ile ilikuwa fainali ya ovyo sana, haina mvuto. Ingawa ushindi ni ushindi tu , hongera spain

    Mechi kuwa hovyo kasababisha Tuchel kushindwa kupanga kikosi cha maana kwenda kupaki basi na Argentina kuokota dodo, ila hao walitembelea mbeleko hadi wanafika hapo. Sikushangaa kuona wanacheza fyongo
  7. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania World Cup Final: Spain 1-0 Argentina | Julai 19, 2026: | Metlife Stadium | Spain Bingwa

    Kwazi wanayo maana jamaa wanakabia juu tu
  8. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania World Cup Final: Spain 1-0 Argentina | Julai 19, 2026: | Metlife Stadium | Spain Bingwa

    Mechi inachezwa upande mmoja tu Argentina wanachojua ni kucheza rafu tu
  9. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FT: France 0-2 Spain | World Cup 2026 | AT&T Stadium | 14 Julai, 2026 | 4:00 Usiku | France out . Spain Fainal

    Wachambuzi wa Azam wanakubali ni hand ball japo ndio hivyo tena VAR ya mchongo
  10. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FT: France 0-2 Spain | World Cup 2026 | AT&T Stadium | 14 Julai, 2026 | 4:00 Usiku | France out . Spain Fainal

    Umekopa bando nini maana unatuma msg kila sekunde hadi kero
  11. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania FT: France 0-2 Spain | World Cup 2026 | AT&T Stadium | 14 Julai, 2026 | 4:00 Usiku | France out . Spain Fainal

    Penalt siilew had sasa kwanza mbona lamine kablock mpira kwa mkono? Alafu kwanini kwenye moment kama hizi hawaangalii lengo la mpigaji?
  12. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Utani wa ngumi: Mashabiki wa Simba walianza kuwasaidia Yanga kujenga uwanja

    Hao walienda kunya bila kunawa
  13. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Marufuku kwa watu wa Kigoma mjini kununua SANDA kuanzia Februari

    Yaah ndio kitu cha lazima kwa kila mtu, utajiri ajira si kwa watu wote ila kifo kila mtu atakufa, saafi babalevo
  14. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Naiombea Simba leo ifungwe

    Kunywa maji mengi, Pata na muda wa kupumzika. Utanishukuru baadae
  15. Abuu Kauthar

    JamiiForums Tanzania Crescentius Mgori: Kuna Viongozi wana matatizo ya Afya ya Akili ndani ya Simba SC

    Sio Mr Genta ni Ms Genta huyo ni mdada sio mwanaume
Back
Top Bottom