Recent content by Abuu Kauthar

  1. Abuu Kauthar

    Baba Levo: Marufuku kwa watu wa Kigoma mjini kununua SANDA kuanzia Februari

    Yaah ndio kitu cha lazima kwa kila mtu, utajiri ajira si kwa watu wote ila kifo kila mtu atakufa, saafi babalevo
  2. Abuu Kauthar

    Naiombea Simba leo ifungwe

    Kunywa maji mengi, Pata na muda wa kupumzika. Utanishukuru baadae
  3. Abuu Kauthar

    Crescentius Mgori: Kuna Viongozi wana matatizo ya Afya ya Akili ndani ya Simba SC

    Sio Mr Genta ni Ms Genta huyo ni mdada sio mwanaume
  4. Abuu Kauthar

    Crescentius Mgori: Kuna Viongozi wana matatizo ya Afya ya Akili ndani ya Simba SC

    Hili ni jukwaa la michezo huo ujinga wenu pelekeni huko sia Huyo ni bwana JARIBU TENA Bila shaka. Na huyo Magoli amesahau hata mashabiki.wapo wenye tatizo hilo...mojawapo ni GENTAMYCINE
  5. Abuu Kauthar

    Tusidanganyane kimahesabu Simba SC ikifungwa au kutoka Sare Mechi ijayo ya CAFCL basi kwa 99.9% tutakuwa tumeshatolewa Mashindanoni

    Ndugu si unao huko hamasisha hao kwanza mtoke, humu tuache tuenjoi mada za popoma
  6. Abuu Kauthar

    Wana Simba SC tukisema hizi Jezi za Kimataifa za Yanga SC ni mbaya mnachukia, haya mchukieni na huyu Msemakweli hapa chini

    Jukwaa hili ni la michezo sio platform ya ukombozi, na dunia hii ni huru hatupangiani nini cha kufanya na wakati gani. Tutolee upumbavu wako hapa
  7. Abuu Kauthar

    TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

    TANZIA: Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias, anayefahamika zaidi kwa jina la MC Pilipili, ameaga dunia leo, Novemba 16, 2025. Kwa mujibu wa taarifa tulizopokea, MC Pilipili alikuwa safarini kuelekea jijini Dodoma kwa ajili ya shughuli yake ya ushereheshaji...
  8. Abuu Kauthar

    TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

    Innalillah wainnaa ilayhi raajiuun
  9. Abuu Kauthar

    Amani ni sawa na bikra ikiondolewa hairudi

    Yaani wewe huwezi kuanzisha vurugu za uhalifu kama zile alafu ukachagua madhara, cha msingi ni kuzuia kwanza hizo vurugu, ndio hoja yangu Ilikuwa ni nini?
  10. Abuu Kauthar

    Amani ni sawa na bikra ikiondolewa hairudi

    Wahenga wanasemaga vita haina macho, panapotokea vita ama vurugu basi usichague madhara, kikubwa ni kuwaasa watu waepuke kuingia kwenye machafuko maana madhara yake huwa ni makubwa mno, lakini pesa wanazokwiba mafisadi na kwenda kuficha nje na huo uharibu nadhani ni chamtoto, tuusiane amani
  11. Abuu Kauthar

    GE2025 Sikutegemea Katoliki wamuombee Dua Samia kwenye kuapishwa kwake

    Akili zote nyingi ulizonazo umeshindwaje kunielewa mimi MWEHU
  12. Abuu Kauthar

    GE2025 Sikutegemea Katoliki wamuombee Dua Samia kwenye kuapishwa kwake

    Ukimfukuza chini aliyechukua nguo zako, wewe ndio unaoneka CHIZI au MWEHU
  13. Abuu Kauthar

    GE2025 Sikutegemea Katoliki wamuombee Dua Samia kwenye kuapishwa kwake

    Sasa si utuachie kwani umelazimishwa wewe mwenye akili nyingi?
Back
Top Bottom