Recent content by abundant

  1. A

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Dah nakumbuka miaka ya mwanzo wa 2000 raia walichoma ofisi ya mwl wa malezi usiku baada ya mwanafunzi kufariki baada ya kudaiwa mwl wa malezi alizembea kutoa ruhusa mgonjwa aende hospital!suspension zilitembea hatar
  2. A

    Tetemeko kubwa la Ardhi laikumba mikoa ya Mwanza, Kagera...

    Uko sawa kabisa tetemeko likichukua hata dakika moja huwa ni kubwa sana na dhahama inayoachwa huwa ni kubwa
  3. A

    Mh. Rais Magufuli hili zoezi la kuhakiki wafanyakazi hewa limeisha

    Angalau statement ingetolewa kuonyesha hili litakamilika lini. malalamiko yanatokana na watu kutoelewa kama ule muda uliotolewa mwanzo(maximum miezi miwili) umeongezwa au kuna nini kinaendelea
  4. A

    Mh. Rais Magufuli hili zoezi la kuhakiki wafanyakazi hewa limeisha

    kwa kweli hali ni ngumu. Dah may this end now
  5. A

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    kiukweli hali tete,watumishi wa Umma tuko stranded.Hatuijui kesho yetu . tungetamani kujua Idara/vitengo/taasisi tutakazokuwa baada ya mabadiliko yanayokusudiwa n.k bila kusahau kama kuna neema yoyote katika mishahara.
  6. A

    Rais Magufuli, sasa serikali ihamie Dodoma

    kuna baadhi ya mambo kwenye maisha hayasubiriani, hizo kero zikiwekewa mkakati zitapata utatuzi huku kuhamia Dodoma nako kukileta utatuzi wa changamoto nyingine. Tuiache DSM makao makuu ya kibiashara na tuifanye Dodoma makao makuu ya serikali.
  7. A

    Rais Magufuli, sasa serikali ihamie Dodoma

    ugumu uko wapi kama utashi upo? Tujifunze kuamini.unless mawazo yetu kuhusu maana ya neno serikali yawe ni zaidi ya vile nielewavyo mimi.Tukitambua serikali kwa sasa inaunda upya muundo wake ambao huenda ukawa zaidi pia ya mazoea yetu. ila nakupongeza kwa kutoa muda hapo mwishoni.
  8. A

    Tetesi: Idara kuwa 6 na Vitengo 2 tu

    nimeipenda approach yako ya kuunga mkono hoja na kutoa mapendekezo. Ila nahisi itakuwa na mchanganyiko mkubwa sana na kutishia upatikanaji wa tija, maana Ardhi, kilimo,mazingira,mifugoMaliasili na ushirika ni tofauti sana unless uwezeshaji uwe mkubwa wa kutosha vinginevyo mkuu wa Idara atakuwa...
  9. A

    Kwanini tunapandisha viwango vya ufaulu kuingia chuo kikuu wakati tuna idadi ndogo ya wasomi?

    kada ya vyuo vya kati ilianza kupotea wakati ndio watenda kazi wakuu.kila chuo kikataka kuwa na degree programs.was not a right move
Back
Top Bottom