wifi ilikuwa 'wifi nae' ni msemo ambao mmiliki wake mwenye asli ya kiasia alipenda kutania. Somea ni surname na mengi ni majina ya watu ,misemo,na vitu ambavyo owner wamependa.
its not big deal it seems imependa WIFI
when i was 20s my late auntie alikuwa anamsema mtu mmoja ambaye alikuwa mweusi kuwa mwusi mpaka rohoni.
Aliniambia ukimuona mtu ana weusi tii kama amepakwa kiwi basi jua roho yake mbaya
Am in 50s now, her words arevery much true CHUNGUZENI
Na majority wenye sura za kutisha ni katili...
thou ni kiwanda kidogo lakini kinamilikiwa na moja kati ya wale matajiri watano wa tz
Wandugu bado wakazi wa makuburi wanateseka.NEMC wamepewa taarifa na wakazi mbalimbali na hivi sasa kuna ujumbe umeenda huko. Hawa wadosi jeuri wanazidi kupeperusha. inaathiri mpaka reservers za maji ya mvua...
kiwanda hiki cha sabuni ya unga kipo mkabala na mandera rd kati ya extrnal na mwananchi maarufu kwa jina la Garage kimekuwa kikipeperusha harufu na unga wa sabuni kwa wakazi wa Makuburi.
sabuni hiyo imekuwa ikionekana dhahiri asubuhi ktk magari na pikipiki zinazolala nje.
Uongozi wa serikali...
what you have said is the reality, but who is this serikali,its not they dont know that, but they are greedy n whatever is suppossed to b done there they see it like a favor not our rght to get equal distribution of development just recently deputy minister oworks alisema ' hatushukuru barabara...
hodi members, kidogo nilionja neema ya 60s na 70s ningependa niwe kama yule mzee kifimbocheza. std 5 ktk somo la haiba na michezo wanajifunza karata draft na bao!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.