Inauma sana ila ujumbe unafika haraka na vizuri sana kupitia maigizo; wasiojua hujua na kufahamu..! Nawatu wengi huamini kua waigizaji huigiza mambo yakweli!
Hata S.SUDAN imejitenga wananini??
Mimi ni mtu wa kaskazin lakin siafiki hilo..! dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu, leo utasema kaskazini baadae utasema mchaga na msambaa na mpare ww kueni makini tu na rasilimali zenu someni hata vitabu sio kukurupuka "dont let a family to rise a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.