Naomba mwenye ufahamu juu ya biashara ya kuuza vifaa vya shule na maofisin.
1. Naomba kujua faida ya hii biashara, changamoto zake
2. Bidhaa gan ni muhimu zaid kuwa nazo dukan
3. Machimbo ninayoweza pata bidhaa hizo kwa bei rahis ya jumla kwa dar
Kwa upande wangu ni biashara isiyo na baraka za mungu. Kwa sabab si kila aliyekamatiwa chombo chake karidhika yuaumia nafsin mwake kwa kushindwa kukikomboa
Ninakuletea popote ulipo. Kwa kila atayenitafutia wateja wa kuanzia mifuko 400 nitampa shilingi laki mbili(200000/=) kama kamisheni. Hata kwa nje ya nchi ikibidi. Bei zetu ni kama ifuatavyo:-
Sembe kg. 5-4000/=,kg. 10-8000/=na kg. 25-16000/=Dona kg5-3500/=kg10-7000/=na kg25-15,000/=karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.