Kibiti waislamu wangapi uliwaona kwa macho yako ?, na je,,? Ndio mafundisho ya uislam yalivyo na pia katika ukristo mitume wa uongo si wamekemewa sasa mbona kila leo mitume na manabii wanazuka. Watu wanatapeliwa kwahiyo hayo ndio mafundisho ya dini yenu
Ndio kwahiyo,??? Tunajifunza nini
Kibiti waislamu wangapi uliwaona kwa macho yako ?, na je,,? Ndio mafundisho ya uislam yalivyo na pia katika ukristo mitume wa uongo si wamekemewa sasa mbona kila leo mitume na manabii wanazuka. Watu wanatapeliwa kwahiyo hayo ndio mafundisho ya dini yenu??
Very very complicated
Mara yesu mungu!!!
Mara mwana wa mungu!!.
Mara roho wa mungu.
Sasa yesu aliyekuwa anamuta baba ni nani?
Na salamu ya baba yetu uliyembinguni amesema nani??
Very complicated
Makusudia ya hayo maneno unayajua au just copy and paste.na histori ya hayo maneno kushuka unajua?? Soma kwanza historia mpaka ikashushwa hiyo Aya. Na maudhi ya mwqnzishaji mada yapo hapo kuhusu roho.
Hivyo vitabu ameandika nani
Hiyo vitabu ameandika nani??,
Nisawa sawa umlete mwana CCM kuchambua Irani ya chadema.
Utapata nini??
Kichwa cha Habari na yaliyoandikwa ndani ni tofauti. Ukiwa msomi mzuri leta similarities upande moja na mwingine ndio tutaweka hoja za kielimu now ni just story na...
Wewe ni muumini wa propaganda yaani hizi picha unazoonesha ndio uislam unavyoeleza hvyo au just copy and paste tabia za watu.
Ni mfano wa sanamu la yesu na mama yake yaliyopo makanisani kwa kuwaaminisha watu kuwa ni yesu kweli kumbe ni muigizaji wa Hollywood.
Kuwa na fact bro acha propaganda
Weka hoja za kielimu. Uislam ndio umefundisha hvyoo?? Au nitabia ya chuki . Nioneshe Bible ya kwqnza kuwa imeandikwa lugha ya kiswahili unachotumia wewe.???
Achana na hoja za ubinafsi weka hoja za msomi sio maneno ya mipasho
Uzuri unasema tabia za waislamu sio kwamba unasema uislam unasemaje. Leta hoja juu ya huo uisĺam ambao umesoma wewe. Tatizo hoja zako ni za ku attack waislamu. Tambua uislam ni muongozo na muislam ni mfataji muongozo. Sasa weka hoja sio ku attack tabia za baadhi ya watu
Kumbe wewe ndio haujui bali unekuja kupotosha watu. Kuwa mkristo ndio fact ya historia ya uislam haijulikani.
Kwa taarifa yako ukisoma vizuri historia ya uislam mambo mengi yaneelezwa. Ebu nielekeze mtaalam wewe umesoma kitabu kipi ambacho kimekupatia ufahamu wa kujiona na wewe ni mchambuzi wa...
Sijaona mifano kutokana na hoja zako, zaidi ya kuanza kujitetea unayosema.
Wewe elezea jinsi history ya uislam ilivyo na tupatie reference umesoma wapi???
Hiyo sio point kama umekaa uingereza utajua ninachosema.
Issue ni genetics za makabira ambayo hawana uoga na wanaweza kuwakabiri viongozi tz tunao tena wa mpakani za hizo nchi
The one who give u eyes and arms and mouth to talk whatever u want is Allah. So is ur choice to continue abuse or remain silent but remember everything is recorded and anything or any time Allah punishment is around to u, it's better to watch ur words
Ni kweli hatuwezi kuwa na viwanda vyetu kutokana na mfumo wa elimu uliopo na pia Sera ambazo serikali imekalia kutawala.
Mgeni anakaribishwa kufungua kiwanda cha magogo application procedure inakuwa sio ngumu kwake lakini mzawa akitaka kuwa na kiwanda cha magogo application procedures kwake...
Tuanze bro maana serikali yetu kama kila mmoja akiwa mzalendo wa kweli inawezekana. Tuna madini ambayo dunia nzima inatuangalia sie kama nchi peke na tuna utalii wa kipekee pia why tusiweze.
Leo wizara husika inatakiwa kutoa takwimu za mifugo sambamba na pesa ambazo zinatolewa kila mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.