Nakumbuka mbunge wa kigoma Kwenye last session ya Bunge alichangia Hoja kwa kusema Hospital zetu zina hali ya chini kwa huduma kiasi kwamba Viongozi Hawakubali kutibiwa, akapingwa na baadhi ya wabunge, lakin hali hii inajionyesha sasa namba ya wabunge wanaokwenda na walioko india hadi leo hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.