Jamani mi cna Mengi sana ila muhimu kwangu ni hili. Nahitaji kupenda na pia nahitaji kupendwa. Nina umri wa miaka 26. Ninaishi Geita mkabala GGM maeneo ya bomani nahitaji msichana/binti mwenye umri kati ya 18-22... Nitafurahi nikimpata anayeishi Geita plz. Dada uliye soma hapa na unahitaji kama...
Kweli mkuu nimekupata ila minadhani wewe +kikwete+washauri wake. Mnapaswa kufanyiwa uchunguzi yakinifu nadhani mnamatatizo ya kufikiri....ni hilo2 mkuu....
Fine! Namimi niwakatiwangu wa kusema kitu....tulieni niseme, jamani mimi nimtanzania wakawaida kabisa tena wa maisha ya hali ya chini.... Kifupi hali inavyoonekana kwa sasa hakuna amani wala nafuu ktk tz.... Huyu RIDHIONE NA NDUGUYE NAPE siwa2 wakupigia kelele sana ili waelewe tunacho sema...
Sifa hizo zinalengj baadaye kupatamke bora. Nataka mchumba lakini kabla sijaingilia swala la uchumba nahitaji awe rafiki yangu kwanza 2fahamiane zaidi.....
Doh! Haya mambo ya ajabu kweli! Kama unaskiaga wanatumikia wengine wanatumikiwa... Usiwd ka mbulula kaka. Ucjiamini kiasi hicho. Hawa wanawake huwa wanabadili uamuzi hatakama kesho nindoa.... Wewe endelea kutumikia2 kaka ila kumbuka. Kuniamwingine kama wewe anatumikiwa na huyohuyo dada...
Mi nadhani swala la maslahi ya walimu si muhim sana... Muhimu ni , maktaba, maabala nk... Na mi nadhani walim 2sipige kelele sana kuhusu maslahi yetu... Sisi ni wataalam bwana, hebu natujivunie utaalam wetu. Sikuzote mtaalam hasemi sana ili kueleweka. Sikwamba serikali haijui umuhimu na utaalam...
Hakuna mengine zaidi ya kuchati. Kama kunalingine litakuja baada ya kuchati. Hivi vigezo si tija sana, lakini nivya muhimu... Sana.... Huyo wa miaka 29, naye anaweza kunitafuta kama ana muda wa kutosha kuchat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.