Masai, siku nyingine ikikushika tumia kitunguu maji kamua juice yake kunywa au kama hapo karibu kuna jani la leaf of life litafune na mwenyeezi mungu akipenda utapata nafuu, nakuombea quick recovery
Mkuu hilo jambo nimekuwa nikijiuliza sana sana kwa kuwa hiyo ni tabia yangu ninapokuwa bafuni, nikiwa nakoga napata baadhi ya fumbuzi na pia ideas nyingine mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.